ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,551
- 44,707
Endapo hujakutana na taarifa ya kifo unaweza kukaa siku ngapi usikifikirie kwa namna yoyote hii ishu inayoitwa kifo.mimi hazipiti siku mbili nijitazame na kujiambia hivi Kuna sekunde na dakika na siku inakuja ndo napotea kweli na kwenda kusikojulikana.
Ila ikifika weekend nyingi siku zote mbili huwa mawazo ya kufa yanapotea nakula maisha ikifika jumanne kuelekea jumatano ka hofu kanakuja cha kifo.
Wakuu huu msala ni mzito msifikiri kustop heart beat na kuacha kabisa kula wali maharage ni jambo zuri.
Ila ikifika weekend nyingi siku zote mbili huwa mawazo ya kufa yanapotea nakula maisha ikifika jumanne kuelekea jumatano ka hofu kanakuja cha kifo.
Wakuu huu msala ni mzito msifikiri kustop heart beat na kuacha kabisa kula wali maharage ni jambo zuri.