John W. Mlacha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 3,504
- 1,341
msichana jirani kanywa sumu juzi ..kisa kakuta meseji ya kimapenzi ya mdada mwingine kwenye simu ya boyfriend wake ...
eti ndio solution?
eti ndio solution?
hakufa walimuwahisha regency kaponasikuzake za kufa zilishafika hiyo ilitakiwa iwe sababu...
humjui mkuu? Yumo humu humu mmu!Ni nani huyo?
hakufa walimuwahisha regency kapona
kwanini nijiue,wakati nikifa yeye atabaki anakula raha duniani??
kwanini nijiue,wakati nikifa yeye atabaki anakula raha duniani??
msichana jirani kanywa sumu juzi ..kisa kakuta meseji ya kimapenzi ya mdada mwingine kwenye simu ya boyfriend wake ...
eti ndio solution?