Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Wana JF.
Uhusiano wa kimapenzi ndio ambao huzaa ndoa baadae.
Lakini vijana wengi sana wamekuwa hawajui ni sehemu gani sahihi ya kumpata mweza wa kweli.
Hili limekuwa ni swali gumu ambalo wengi wamekuwa wakijiuliza pasipo kupata majibu. Kutokana na utandawazi uliyopo hivi sasa, pamoja na matumizi yasio sahihi ya utandawazi yanafanywa hivi sasa.
Wengi wamejikuta wakipata wenza wasio sahihi na wapo waliopata wenza sahihi kupitia mitandao ya kijamii, hivi ni sahihi kuanzisha uhusiano na mtu uliyekutana naye katika mitandao ya kijamii?
Wadau tujadili hii
Uhusiano wa kimapenzi ndio ambao huzaa ndoa baadae.
Lakini vijana wengi sana wamekuwa hawajui ni sehemu gani sahihi ya kumpata mweza wa kweli.
Hili limekuwa ni swali gumu ambalo wengi wamekuwa wakijiuliza pasipo kupata majibu. Kutokana na utandawazi uliyopo hivi sasa, pamoja na matumizi yasio sahihi ya utandawazi yanafanywa hivi sasa.
Wengi wamejikuta wakipata wenza wasio sahihi na wapo waliopata wenza sahihi kupitia mitandao ya kijamii, hivi ni sahihi kuanzisha uhusiano na mtu uliyekutana naye katika mitandao ya kijamii?
Wadau tujadili hii