Kaka horrace
Member
- Aug 2, 2018
- 21
- 4
JF family nawasalimu.
Kumradhi jamani kuna kajambo hapa tusaidiane mawazo....
Mara nyingi zinapotangazwa kazi sekta zote wanatoa na vigezo wanavyotaka muombaji awe navyo.
Mfano ulitaka kuomba kazi ya uhadhiri msaidizi wa chuo...vyuo vingi vya umma watataka aidha uwe na G.P.A 3.5/3.8 upande wa shahada ya kwanza na kuendelea na pengine upande wa shahada ya pili watataka G.P.A kuanzia 4.0 na kuendelea.
Swali langu.inaweza tokea ukawa na mfano G.P.A 3.4 shahada ya kwanza na 4.0 shahada ya pili ukachaguliwa?? (Ndio nilizonazo Mimi)...ni BA/MA sio sayansi.
karibu ni kwa mawazo.
Kumradhi jamani kuna kajambo hapa tusaidiane mawazo....
Mara nyingi zinapotangazwa kazi sekta zote wanatoa na vigezo wanavyotaka muombaji awe navyo.
Mfano ulitaka kuomba kazi ya uhadhiri msaidizi wa chuo...vyuo vingi vya umma watataka aidha uwe na G.P.A 3.5/3.8 upande wa shahada ya kwanza na kuendelea na pengine upande wa shahada ya pili watataka G.P.A kuanzia 4.0 na kuendelea.
Swali langu.inaweza tokea ukawa na mfano G.P.A 3.4 shahada ya kwanza na 4.0 shahada ya pili ukachaguliwa?? (Ndio nilizonazo Mimi)...ni BA/MA sio sayansi.
karibu ni kwa mawazo.