dvj nasmiletz
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,020
- 2,157
Yule wa movie za kihindi
RFA the sound of Africa Africa ni noma sana hii radio aiseeHivi rfa bado wapo hewani? Maana huku Songea siwapati
Rahabu FungoRahabu Fredy alijiita hivyo nafikiri.baada ya kuolewa na Fredwaa.
Alikuwa Rehabu someboy
Na kuna
Mkamiti juma
Ostaadhi Peter omary
umemsahau Deo burabuza kiduduye RIPNaweza nikasema orodha ya watangazaji wa redio hizi ambazo ziko jiji la Mwanza walinikosha hadi kutamani kusomea uandishi wa habari, enzi hizo kulikuwa hakuna mitandao nilitamani sana kuwafahamu hata kwa sura watangazaji hao, maana vipindi vilikuwa vimesheheni watu walikuwa na vipaji vya kuogopwa.
ikikuwa ukiwasha redio asubuhi huzimi mpaka kesho ikizima ujue umeme umekatika, KISS FM nilianza kuisikiliza muda kidogo kupitia dishi la televisioni upande wa redio sababu sehemu niliyokuwepo masafa yake yalikuwa hayafiki,
hebu shusha orodha ya watangazaji waliokuwa wanashusha mabalaa kipindi hiko, kwa sasa naona kama hazifanyi poa
RFA
Baruan Muhuza
Gabriel Zacharia
Maregesi Gilsian
Rahabu Fredy
Sandu G (Kid bwoy)
Sam David Kiama (Uncle Sam)
Fredrick Bundala (sky walker)
Fredy fidelis (fredwaa)
Juma Ahmed Baragaza
Glory Robinson
Godwin Gondwe (double G)
Tryphone Anselm (Soggy Dogg)
DJ John
Prince Baina Kamukulu RIP
Zuberi Msabaha RIP
Godfrey Kusolwa (Godman)
Deborah Mpangama
Beatrice Rabachi
ONGEZA LIST.....
KISS FM
Irene Tillya
Yunus Karsan
John Karan
Steve Kabuye (Steve Kafire)
Claudia Mayanka
Tobby Chewe
Chris Mark
Dj Jeff Jerry
Dj Aleco
Dee seven
Ezden Jumanne
JML
ONGEZA LIST......
Kwa kifupi hizi rredio mbili palikuwa ni chuo cha kujifua na ilikuwa ndoto ya wengi kwenda kufanya kazi sifahamu kwa sasa
Alex Ngusa (HOME-BOY)Alex ngusa
huyu kwa sasa ni diwani pale Kata ya kirumba kupitia magambaAlex Ngusa (HOME-BOY)
Mbunge Wa baadaeAlex Ngusa (HOME-BOY)
Huyu ni mbunge Wa baadaehuyu kwa sasa ni diwani pale Kata ya kirumba kupitia magamba
Wapo mkuuHivi rfa bado wapo hewani? Maana huku Songea siwapati