MT255
JF-Expert Member
- May 3, 2012
- 3,381
- 4,648
Habari za jioni wana jamvi,naami ijumaa ya Leo ipo shwari.Leo nimeona tujikumbushe kidogo wacheza disco waliwahi kutamba sana enzi hizo kabla ya kuja hiki kizazi cha bongofleva na Si vibaya tukiwataja kwa majina ili kuwapa heshima...
1.BLACK MOSESS(RIP)
2.BOB KASSIM
3.BOSCO COOL J
4.KELLY JOHN
5.ALI BAUCHA
6.DIGA DIGA
7.KID FRASH(RIP)
8.MAX
haya mdau na wewe endelea....na Si vibaya ukataja hata ukumbi ulikokuwa unashuhudia baadhi ya mashindano ya hawa jamaa.
nawakilisha.
1.BLACK MOSESS(RIP)
2.BOB KASSIM
3.BOSCO COOL J
4.KELLY JOHN
5.ALI BAUCHA
6.DIGA DIGA
7.KID FRASH(RIP)
8.MAX
haya mdau na wewe endelea....na Si vibaya ukataja hata ukumbi ulikokuwa unashuhudia baadhi ya mashindano ya hawa jamaa.
nawakilisha.