Unawakumbuka waandishi gani na vitabu vyao waliovuma Sana hapa Tanzania?

lee Vladimir cleef

JF-Expert Member
Feb 5, 2013
9,147
33,302
Kama umesahau Basi nakukumbusha wachache.

Alistabrus Elvis Musiba - Kufa na kupona, Njama, Kikomo

Faraj Hassan Hussein Katarambula - Simu ya Kifo, Pili Pilipili.

Hawa waandishi vitabu vyao vilitingisha Sana East Afrika.

Musiba alikua na Mhusika katika vitabu vyake aliekua Jasusi Mbobevu Afrika nzima Aliejulikana Kama Willy Gamba.

Unaweza kuongea idadi.
 
Lwanda Magere
225608.jpg
 
Kitabu kiliitwa Bado Mmoja kiliandikwa na Nikolas Marcus Kuzenza Sayuki.

Mwandishi mwingine aliiywa Hamie Rajab sikubuki vitabu vyake.
 
Kama umesahau Basi nakukumbusha wachache.

Alistabrus Elvis Musiba - kufa na kupona,Njama,Kikomo

Faraj Hassan Hussein Katarambula - Simu ya Kifo,Pili Pilipili.

Hawa waandishi vitabu vyao vilitingisha Sana East Afrika.
Musiba alikua na Mhusika katika vitabu vyake aliekua Jasusi Mbobevu Afrika nzima Aliejulikana Kama Willy Gamba.

Unaweza kuongea idadi.
WALIOVUMA? Sema WANAOVUMA. Kuna Mkama, na Ali, na Mangula, na Ng'wanang'walu, na Kimario, na Alnoor Kassum , na mimi. Kama huwajui tuwasiliane upenu, unless you were jesting.
 
Back
Top Bottom