Unawakumbuka ma-headmaster maarufu in 80s to 90s?

Yuko mmoja ivi shamsahau wa Tosa, anavaa njiwa soksi nyeupe anazipandisha Na kiatu cheusi alichokikandika rangi.. Shati linalombana mikono mifupi. Mtu huyu Hana jema Hata moja.. Akikuita lazima akunyuke hajui fimbo Mtu huyu.. Mikono yake tu nadhani hata sheria za fimbo alikuwa hazijui.. Ila nyumbani kwake naskia alikuwa mkarimu sana
 
Yuko mmoja ivi shamsahau wa Tosa, anavaa njiwa soksi nyeupe anazipandisha Na kiatu cheusi alichokikandika rangi.. Shati linalombana mikono mifupi. Mtu huyu Hana jema Hata moja.. Akikuita lazima akunyuke hajui fimbo Mtu huyu.. Mikono yake tu nadhani hata sheria za fimbo alikuwa hazijui.. Ila nyumbani kwake naskia alikuwa mkarimu sana
alikuwa miaka ipi huyo?
 
Benjamin mkapa h.school inaanzishwa tu 1998 akapewa h/master kihawa na second master mapunjo huyu mapunjo ye ndo alikuwa anarun shule ukikutana nae tu mabanzi + makonzi ya kufa mtu
 
Mr.Mwampaja (Kibaha Sekondari)
Bonge la Headmaster kwa wale mlioskulisha Kibaha
 
mbona sijawahi kuwasiki? hawa watu hawajulikani beyond mipaka ya shule zao, huwezi kuwaita maarufu, maarufu wapi, ndani ya shule zao? Of course kila mtu anamjua mwalimu wake mkuu!. Wana legacy gani hao walimu "maarufu."

Mwalimu Ndosi was more 'maarufu' than any of these hapless chaps, in terms of teaching legacy and lasting memory in the psyche of primary schools kids of Dar-es-Salaam, albeit just of the mainstream class.
 
mbona sijawahi kuwasiki? hawa watu hawajulikani beyond mipaka ya shule zao, huwezi kuwaita maarufu, maarufu wapi, ndani ya shule zao? Of course kila mtu anamjua mwalimu wake mkuu!. Wana legacy gani hao walimu "maarufu."

Mwalimu Ndosi was more 'maarufu' than any of these hapless chaps, in terms of teaching legacy and lasting memory in the psyche of primary schools kids of Dar-es-Salaam, albeit just of the mainstream class.

Tuliosoma Boarding kipindi hicho cha misuko suko mingi saaana kwa shule zza sekondari ndio tunawafahamu haoo walimu.... wonderfull enough si mimi peke yangu tu bali tupo wengi hapa na tulikuwa maeneo tofauti tofauti. HAtuongelei walimu wa shule za msingi. Hawa umaarufu wao unakuja kuwa ni wale walioona Ualimu ni wito na kuithamini sana kazi yao. Tena baadhi walifanya hata "ligi" katika matokeo ya shule zao.
 
Leo nimekaa na kuwambuka baadhi ya Maheadmaster wa shule zetu katika miaka ya 80s, 90s na early 00s, ni wale waliokuwa katika zile shule zetu kongwe za miaka mingi, kutokana na uchache wa shule kipindi kile ilikuwa rahisi kuwajua wengi na wa shule nyingi tuuu.na wanafun

Naomba tuwataje na baadhi ya Character unazozikumbuka

  1. Mr Kwayu (Azania) huyu alipendwa sana na wanafunzi wake!
  2. Mama Mkamati (Jangwani)
  3. Mkangwa (Tosamaganga/Moro Sec) huyu mtu kwa kubadilisha suti hajambo!!
  4. Mr. Andrew Shayo (Umbwe/Arusha/Old Moshi) huyu alikuwa Bondia ukileta utani anaweza hata akakupa gloves mpigane!!
  5. Mr. Kitemangu (Ilboru)
  6. Mr. Makange (Arusha day)
  7. Mr. Vaginga J Vaginga (Ifunda) huyu alikuwa na bonge la Afro sijui alikuwa haendi Salon?
  8. Mr. Kisusange (Iyunga)
  9. Mr. Gwajimira (Kibiti) Huyu nilisikia alishatutoka!
  10. Mama Mashaka (Nganza) na huyu alishatutoka
  11. Mama Ropa (Nganza)
  12. Mr. Mbangwa (Nsumba/Tosamaganga)
  13. Mr. PB Rwamwasi (Old Moshi/Arusha sec)
  14. Mr. Malisa (Pugu)

Ongeza basi na wengine na wasifu/vituko vyao ama ongezea wasifu wa baadhi ya hao hapo juu.

Huyo wa kwanza ananihusu.. Headmaster wangu Azania Sec.

Na nasikia alipokuja Azania,alitokea Ndanda Sec.(ambayo wanafunzi walifukuzwa kwa mambo ya udini-udini majuzi)
 
Katendele wa Tabora Boys nakumbumbuka alikula TMO/EMO za wanafunzi akakimbizwa kwenda Sengerema
 
Kuna mtu anaitwa KIWARA J. H/M kishumundu sec, jamaaa alikuwa anatandaza bakora asikuambie mtu, akikuita ofisini jiandae kula fimbo kama 100 hiv kichwa kikiwa kimesokomezwa chini ya dawati.
 
Back
Top Bottom