Unawafahamu vizuri madaktari wa muhimbili?

Yes kwa jinsi maisha yalivyopanda na ukizingatia umuhimu wao-mshahara wa Daktari(MD)anayeanza kazi walau usiwe chini ya M3.Swimming pools siyo muhimu na unafahamu kuwa siyo muhimu,isipokuwa CT scanning ni muhimu sana kuwepo walau walau hata mngejitahidi katika kila hospitali ya mkoa pawe na hiki kipimo.CT scan umeitaja wewe,lakini pia kuna vipimo vingine muhimu sana(sitavitaja-kuokoa muda),hatunavyo hapa nchini vya kusaidia kufikia true positive diagnosis mapema,hivyo kufanya pia matibabu sahihi yaanze mapema.Unafiki maboresho yangetosha kama unavyojaribu kutetea,Mzee Malecela angekwenda kupasuliwa moyo Uingereza?
Kusema Daktari asilipwe vizuri kwa vile walimu hawalipwi vizuri ni upuuzi.Mbona kwa wenzetu,madaktari wanalipwa vizuri kuliko waalimu au hata nyie watu wa BA na hakuna kelele?kwanini?Huwezi kujua uchungu wa medical school kwa kusimuliwa.Ukisimuliwa utaona ni rahisi tu,utasema mbona hata nyie na kozi zenu za miaka mitatu mitatu huku mnakwenda club kila mwisho wa wiki,mmesoma na mnaujua uchungu wa kung'atwa na mbu na ku sup.Mtu amesotea chuoni miaka karibu 13 kuwa bingwa,na kazi yenyewe ni delicate na bado inamlazimu asome sana pia hata sasa baada ya kumaliza shule kwa faida yenu nyinyi kila Fundimchundo,halafu unampa mshahara sawasawa na mpiga deni wa TRA??Halafu wewe unaona sawa tuu,eti wito,dah!
Yaani wewe umechemka hadi nimeshindwa kuamini kwamba ni Daktari. Mbona umeandika mambo ya aibu? Hivi ukitaka kila mtu ajitambulishe hapa unadhani utaandika upuuzi wako? Ndio maana rushwa haitaisha kama mawazo yako ndiyo haya. Inaonekana ni kijana. Wakati fulani tulia hapa jamvini soma comments tu utapata welevu. Na kama unajiona Dr kweli na unahitaji Watanzania masikini wakupe kipato hicho, jaribu kwenda nje ya nchi. Wewe hata ukilipwa malipo gani, ethics ni zero.
 
Tofauti na wengi wanavyodhani, wenye umuhimu zaidi nchini kwetu si madaktari bingwa au hata madaktari. Wenye umuhimu zaidi ni wakunga wenye uwezo wa kuwazalisha wake zetu, mama zetu na dada zetu kwa usalama zaidi. Wanaohitajika zaidi ni RMA ambao watatambua kuwa kinachomsumbua mtoto si pepo mbaya bali ni malaria kali. Wanachohitajika ni walimu wa shule za msingi watakaowafundisha watoto umuhimu wa chakula bora, usafi, matumizi bora ya vyoo n.k. ili wasije baadae wakawasumbua waheshimiwa madaktari wanaotaka milioni tatu kabla hawajawaona. Wanaohitajika ni mafundi mchundo watakaowaonyesha wanacni namna ya kujenga makazi bora yatakayowasitiri kutokana na mvua na kuhakikisha kuwa hawaangukiiwi na paa na mama hasumbuliwi na kifua kutokana na kupikia kuni. Wanaohitajika ni mabwana shamba watakaowafundisha namna ya kuongeza ubora wa mazao yao ya biashara kwa faida ya miili yao na kipato chao. Madaktari wa kwenye hizo hospitali za mikoa na madaktari bingwa wanahudumia watu wachache sana katika nchi yetu. Ni hawa, unsung heroes, ndio inabidi tuwaheshimu na kuwaenzi. Ni kwa hao na si kwa madaktari bingwa ndio ninasema

Amandla...........
 


Wapi nimebisha kuwa mimi ni kilaza? Wewe ndiye unayetaka kututisha kwa sababu ulisoma miaka 13 kozi ya miaka 5! Nilikwambia pengine uliwasoma hao mafilosofa lakini haukupata kitu. Mimi hapa nimewataja waheshimiwa wachache ambao hao mnaowadharau kwa kuwaita mangwini wanawasoma na wala sikuzumzia filofi zao wala kusema kuwa nimewasoma. Mamlaka ya kusema kuwa wewe umesoma lakini haujaelimika ninayo kutokana na uanachama wangu wa hii Forum. Nisichoweza ni kulazimisha wengine wakubaliane nao. Kazi hiyo unaifanya wewe kwa namna unavyojibu hoja.

Yah kweli wewe ni kilaza na haki yako kukubali kuwa wewe ni kilaza na sintokuonea haya wala huruma kwa hilo.Nimeiweka very clear lakini unashindwa kuelewa.Hebu rudi nyuma kidogo ukasome tena post yangu namba 50.Sijasema kuna mtu namfahamu,amesoma shahada ya kwanza ya udaktari kwa miaka 13 au nimesomea shahada ya kwanza ya medicine kwa miaka 13.Nimesema inaweza kumchukua mtu miaka 13 chuoni mpaka kuwa bingwa.Sasa sijui unaelewa maana ya kuwa daktari bingwa au unabwabwaja tu hapa?Hujui nimesomea wapi,nimesomea nini,lakini naona unaandika as if una facts zinazokufanya uamini kuwa mimi ni daktari na nafanyia bongo..pole!


Kwa sababu ni kawaida chombo kuharibika basi tupeleke CT Scan Sumbawanga, Tabora au Kigoma ambako mazingira ni magumu? Kwa mtaji huu basi bora ulienda kupasua vyura maana ngwini ingekushinda.



Naaaam, kweli mimi ni kizee. Lakini kama mawazo yenyewe ya maendeleo ni ya kila mmoja wenu avute milioni tatu kila mwezi na kupeleka CT Scan kila mkoa bila kutuambia nchi yetu itamudu vipi, basi hayastahili kupewa nafasi maana mtatupeleka kubaya kuliko tulipo sasa.


Ndiyo kwa jinsi unavyoandika,unaonekana wewe ni kidingi fulani hivi au kama kijana basi una mawazo ya kizeezee.Kama unaona shida kila mkoa Tanzania kumiliki CT scan kwa vile hatuna mafundimchundo wa kuzihudumia zikiharibika,huu utaitaje kama siyo upupu?

Mimi ndio maana nakwambia ngqwini usingeiweza maana huwezi kutetea hoja. Utasemaje argument yangu ni irrelevant bila kutuonyesha wapi imepungukiwa? Hapa hauongei na mimi peke yangu, ainisha tu hizo shurubu unazotuambia ziko katika masomo yenu na bila shaka kuna wasomi wenzako watakaokuelewe. Ni utetezi wa kiabunuwasi kusema kuwa siwezi kukwambia kwa sababu hautaelewa! Sahihisho kidogo kutoka kwa kilaza," hauwezi ukasema the most paid profession. Ulichotakiwa kusema ni "the most HIGHLY paid profession". Lakini wote tunateleza, hata wasomi kama nyie. Sasa kama si lazima nyie muwe the most highly paid profession, ni nani ambae mnadhani angestahili kulipwa kuliko nyie? Madereva wa mabasi kwa sababu wanabeba roho za watu sitini kila wakikaa nyuma ya usukani? Au wa treni? Au wa ndege? Nani, maana mangwini hamtaki wawapite kimshahara. Kutokana na argument yako basi hata hao wakina vijisenti wasingeangaikia vi 10% kama wangelipwa vizuri? Unaamini kweli kinachowafanya madaktari, majaji, mawakili, wahandisi kuendekeza rushwa ni ugumu wa maisha?

Soma taratibu na jaribu kunielewa.Wewe umeleta hoja kwamba mbona madaktari wa Ulaya(UK) kwa mfano hawaandamani kupinga malipo makubwa ya wacheza mpira wa miguu.Nikakujibu kwa kukuuliza swali-Wacheza mpira na madaktari,tena wa serikali wapi wa wapi?Mbona ni vitu viwili tofauti?Maana yangu ni kwamba siyo lazima madakatari wa Tanzania walipwe mshahara mkubwa kushinda wafanyakazi wote Tanzania.Isipokuwa walipwe vizuri walau kiasi ambacho kitakidhimahitaji yao muhimu na familia zao.Nikapendekeza M3 kama kianzio.Wewe kama huamini,sikulazimishi.Lakini binafsi naamini ingeleta tija sana katika utendaji wao huko serikalini kwavile ingeokoa muda na wengi wangeachana na kazi za kuganga njaa kwenye vizahanati mitaani na hata kupokea virushwa vya elfu mbili mbili.Huwezi kujua ugumu wa medicine,we baki na ungwini wako tu,lakini wadau wenyewe kama wananisoma hapa bila shaka they know exactly what im trying to say and defend.
Mkuu-Nilisoma lugha ya Kiingereza mpaka form 4 tu,baada ya hapo sikubahatika kukisoma kama lugha.Kwahiyo inawezekana mwenzangu ukawa mtaalam wa lugha hii,hivyo ukawa na uwezo wa kusahihisha makosa ya wengine.Lakini nakushangaa sana kwanini umeamua kusahihisha Kiingereza changu tu,wakati kuna makosa mengi tu ya kisarufi naamini nayafanya katika Kiswahili?Au nawe bado ni mjinga unayeamini kuwa kujua Kiingereza ndiyo usomi?Maana nimeandika sana Kiswahili mwanzoni,lakini mtaalam wewe wa lugha hukuwahi kunisahihisha hata mara moja.Halafu sioni tatizo lolote katika hiyo sentensi.Hivi nikisema-most paid profession au highest paid profession kosa liko wapi?Anyway,wewe mwenyewe umesema tu stick kwenye mada at hand,lakini naona sasa umeanza kutoka nje.Sasa chagua tuongelee lugha au madaktari na rushwa Tanzania?



Mfano wa watu kusoma miaka 13 umeutoa wewe. Kama hukusoma wewe basi bila shaka ni mtu unaemfahamu ndiyo maana unatetea aendekeze rushwa kulipia miaka aliyokuwa akikamatwa na maprofesa wanoko.
Nyie ndio mnaodai kuwa kuna nchi ambako taaluma yenu inaheshimiwa. Mimi nikawaambia basi kama ni hivyo basi nendeni huko ambako majani ni kijani zaidi. Botswana na Marekani ni mifano tu. Kama huko unaona hakufai basi wewe chagua tu nchi ambayo itakupa heshima unayostahili, mshahara wa nguvu, CT Scan hadi chooni, hospitalizenye robots kila mahali n.k ili roho yako isuuzike. Kwetu hapakufai. Watakuja kukufunga bure tu kwa kuchukua rushwa kumbe mwenzao unaganga njaa.

Ndiyo maana nikasema wewe kilaza na hujui unenalo.Kwanini una-conclude kwamba mimi ni daktari na nafanya kazi bongo?Yes zipo nchi zinazoheshimu taaluma za watu na siyo udaktari tu na zimepiga hatua kubwa sana kimaendeleo kwa sabau hiyo.Wapi nilipotetea rushwa?


Kweli sina mamlaka ya kukuchagulia wapi pa kufanya kazi. Lakini sitakuacha uje hapa kushabikia uovu wa wenzako ( bila shaka na wewe unahusika) ati kwa sababu mnapunjwa mshahara.

Nafurahi umekiri kwamba huna mamlaka hayo,manake uliikomalia sana hii sentensi yako.Anyway mimi sijakwita mshabikia maovu kwavile unatetea madaktari kuminywa kipato,nakuona ni kama mtu ambaye analeta hoja za upande wa pili wa shilingi.Kwahiyo u just bring it on manake sikwaziki hata kidogo na hizo name calling.

Sijakukataza kunijibu. Ubavu huo sina. Tofauti na wewe, sina kawaida ya ku-suffer fools gladly. Nina limit ya kuvumilia upuuzi. Ukiona kimya basi ujue kiwango hicho kimefika. Don't insult our intelligence kwa kutuletea vi-half baked theories vyenu.

Ha ha ha mkuu unachekesha sana.Achana na defensive mechanisms za kitoto,leta hoja.Kama matusi labda utaanza wewe na nitaku ignore tu,kwani sina muda huo na hata sasa najitahidi tu kukupa attention,lakini kiukweli ilibidi niachane nawe zamani tu.
 
mshahara mdogo kila mtumishi wa serikali analalamika,,,hivyo sio justification ya kuchukua rushwa,,tene ukiwa unahusika na uhai wa mtu sio vizuri kufanya mskhara na uzima wa mgonjwa,,,,,

Mkuu nakubaliana na wewe rushwa haina justification, ni wajibu wetu kuhakikisha inakomeshwa. Sikubaliani na hatua za kuangalia sekta moja tu na kufumbia macho sekta zingine. Kila kitendo cha rushwa kinadhuru uhai na uzima wa maisha ya mtanzania, mfano wafanyakazi wa TRA wanapochukua rushwa na kushindwa kukusanya kodi na kuikosesha serkali pesa za kununua madawa, ambulance, vifaa vya maabara, xray nk je watanzania hawafaki kwa kukosa hizo huduma? madaktari hapa ni victim wa mfumo mzima wa kifisadi na rushwa, wao ndo wapo kwenye spotlight lakini wauaji wakubwa wa raia wa JMT ndo hao mnaowapigia makofi mitaani.

Sawa kabisa Mshahara ni mdogo kila mfanyakazi wa serkali ana fanya kila mbinu ya kujikimu, wengi wanajiongezea vipato kutokana na mahali pao ka kazi. Traffic police wanakula kwa madereva, Waalimu wanakula kwa wanafunzi/wazazi, TRA wanakula kwa wafanyabiashara, Mawaziri wanakula kwa mikataba, wabunge wanakula kwa posho hujuma, Rais anakula kwa safari za nje, taasisi za serkali, wawekezaji na wafanyabiashara wakubwa wakubwa nk. maakimu/majaji wanakula kwa watuhumiwa na wale wenye kudai haki zao maakamani. Je daktari ale wapi? Nchi zenye rushwa na ufisadi uliokubuku kama misri walifikia hatua wakakubalina kwamba mfanyakazi wa serkali anaruhusiwa kuchukua asilimia kidogo kutoka kwenye thamani ya huduma aliyotoa kwa mteja.
Kwa hii serkali ya ccm hatuna namna ingine zaidi ya kutunga sheria kama hiyo ya misri ili iwe wazi kwamba asilimia fulani ya malipo ya huduma uliyopata inaenda moja kwa moja kwa mtoa huduma.
 
Yaani wewe umechemka hadi nimeshindwa kuamini kwamba ni Daktari. Mbona umeandika mambo ya aibu? Hivi ukitaka kila mtu ajitambulishe hapa unadhani utaandika upuuzi wako? Ndio maana rushwa haitaisha kama mawazo yako ndiyo haya. Inaonekana ni kijana. Wakati fulani tulia hapa jamvini soma comments tu utapata welevu. Na kama unajiona Dr kweli na unahitaji Watanzania masikini wakupe kipato hicho, jaribu kwenda nje ya nchi. Wewe hata ukilipwa malipo gani, ethics ni zero.

Nani alikwambia uamini kuwa mimi ni Daktari>?Utakuwa mjinga basi kama unaaminiamini kila kitu kinachoandikwa hapa JF.Au kuna sehemu yoyote nilipoandika kuwa mimi Daktari?Ni quote basi acha kuhisihisi tu kama mganga wa kienyeji,eboo!Wewe ukitaka jitambulishe tu na kisomo chako,Hakuna atakayekubabaikia hapa.Au unadhani unanitisha kwa kusema hivyo?Hata kama una degree kama Tuntemeke,hunitishi mazee,leta hoja uwanjani siyo bla bla tu
 
Hiyo Physiotherapists unaijua wewe. Siwezi kukubaliana moja kwa moja na kauli yako madaktari wengi wana hali nzuri ya kipato. Hao wanaochukua rushwa wengine ni madaktari Bingwa. Yamenikuta kufanyiwa Operesheni ilinigharimu Tsh 250,000 hiyo ni nje ya malipo halali. Ndipo daktari akajadiliana na daktari mwenzake wakakubali kufanya mwz wa 2 badala ya mwezi wa 12 ambao tulipangiwa kurudi tena hospitali na si kufanyiwa Operesheni.

Tatizo linaweza kuwa ni uhaba na uduni wa huduma za afya kwenye mahospitali ya serkali ikiwamo MNH. Operations zinachelewa siyo kwa sababu madaktari wanasubiri rushwa bali ni ukosefu na uhaba wa vitendea kazi. Wakati mwingine vinaisha na inabidi wasubiri serkali itoe pesa, lakini wanakuwa wamebakiza vichache kwa ajili ya dharura. Sasa wewe unaweza kusikia jirani yako yeye kafanyiwa operation lakini wewe unaambiwa subiri, kumbe hujui kuwa jirani yako alilkuwa na tatizo la dharura.
Nakubaliana na wewe kwenye mazingira ya namna hii ndani ya jamii ya kirushwa rushwa kama mtu utahitimisha tu kwamba daktari amekula rushwa.
Haya siyo makosa ya madaktari, ni makosa ya serkali kushindwa kutoa huduma za afya kwa wananchi wake. Malalamiko yake ni ya msingi lakini unayaelekeza kwa watu wasiohusika.
Kama raia mwema na mlipa kodi ndani ya nchi yako unahaki kabisa kwenda kwa mbunge wako, waziri au raisi kutoa malalamiko yako ya kutoridhishwa na huduma uliyopata muhimbili au hospitali yoyote ya serkali. Ndivyo wanavyofanya raia wa nchi zilizoendelea na zinazoendelea.
 
Sasa jamani mbona mnatuchanganya! hii thread inazungumzia MOI (Muhimbili Orthopaedic Institute) au MNH (Muhimbili National Hospital) maana MOI hawafanyi operation za Tonsilectomy? msituchanganye bana.
 
Yah kweli wewe ni kilaza na haki yako kukubali kuwa wewe ni kilaza na sintokuonea haya wala huruma kwa hilo.Nimeiweka very clear lakini unashindwa kuelewa.Hebu rudi nyuma kidogo ukasome tena post yangu namba 50.Sijasema kuna mtu namfahamu,amesoma shahada ya kwanza ya udaktari kwa miaka 13 au nimesomea shahada ya kwanza ya medicine kwa miaka 13.Nimesema inaweza kumchukua mtu miaka 13 chuoni mpaka kuwa bingwa.Sasa sijui unaelewa maana ya kuwa daktari bingwa au unabwabwaja tu hapa?Hujui nimesomea wapi,nimesomea nini,lakini naona unaandika as if una facts zinazokufanya uamini kuwa mimi ni daktari na nafanyia bongo..pole!

Ukisimuliwa utaona ni rahisi tu,utasema mbona hata nyie na kozi zenu za miaka mitatu mitatu huku mnakwenda club kila mwisho wa wiki,mmesoma na mnaujua uchungu wa kung'atwa na mbu na ku sup.Mtu amesotea chuoni miaka karibu 13 kuwa bingwa,na kazi yenyewe ni delicate na bado inamlazimu asome sana pia hata sasa baada ya kumaliza shule kwa faida yenu nyinyi kila Fundimchundo,halafu unampa mshahara sawasawa na mpiga deni wa TRA??Halafu wewe unaona sawa tuu,eti wito,dah!

Post yako hiyo hapo juu. Kwa hiyo unataka kutuambia kuwa haukuwa na uhakika na hiyo miaka 13? Ilikuwa nadharia tu? Hiyo namba uliipataje maana wewe si daktari wala haujui mtu aliye daktari? Uli-google?



Ndiyo kwa jinsi unavyoandika,unaonekana wewe ni kidingi fulani hivi au kama kijana basi una mawazo ya kizeezee.Kama unaona shida kila mkoa Tanzania kumiliki CT scan kwa vile hatuna mafundimchundo wa kuzihudumia zikiharibika,huu utaitaje kama siyo upupu?

Kama haujaona udhaifu wa hoja yako ya kusema tupeleke tu CT Scan mikoani hata kama uwezo wa kuzihudumia hatuna, sina cha kukusaidia.


Soma taratibu na jaribu kunielewa.Wewe umeleta hoja kwamba mbona madaktari wa Ulaya(UK) kwa mfano hawaandamani kupinga malipo makubwa ya wacheza mpira wa miguu.Nikakujibu kwa kukuuliza swali-Wacheza mpira na madaktari,tena wa serikali wapi wa wapi?Mbona ni vitu viwili tofauti?Maana yangu ni kwamba siyo lazima madakatari wa Tanzania walipwe mshahara mkubwa kushinda wafanyakazi wote Tanzania.Isipokuwa walipwe vizuri walau kiasi ambacho kitakidhimahitaji yao muhimu na familia zao.Nikapendekeza M3 kama kianzio.Wewe kama huamini,sikulazimishi.Lakini binafsi naamini ingeleta tija sana katika utendaji wao huko serikalini kwavile ingeokoa muda na wengi wangeachana na kazi za kuganga njaa kwenye vizahanati mitaani na hata kupokea virushwa vya elfu mbili mbili.Huwezi kujua ugumu wa medicine,we baki na ungwini wako tu,lakini wadau wenyewe kama wananisoma hapa bila shaka they know exactly what im trying to say and defend.
Mkuu-Nilisoma lugha ya Kiingereza mpaka form 4 tu,baada ya hapo sikubahatika kukisoma kama lugha.Kwahiyo inawezekana mwenzangu ukawa mtaalam wa lugha hii,hivyo ukawa na uwezo wa kusahihisha makosa ya wengine.Lakini nakushangaa sana kwanini umeamua kusahihisha Kiingereza changu tu,wakati kuna makosa mengi tu ya kisarufi naamini nayafanya katika Kiswahili?Au nawe bado ni mjinga unayeamini kuwa kujua Kiingereza ndiyo usomi?Maana nimeandika sana Kiswahili mwanzoni,lakini mtaalam wewe wa lugha hukuwahi kunisahihisha hata mara moja.Halafu sioni tatizo lolote katika hiyo sentensi.Hivi nikisema-most paid profession au highest paid profession kosa liko wapi?Anyway,wewe mwenyewe umesema tu stick kwenye mada at hand,lakini naona sasa umeanza kutoka nje.Sasa chagua tuongelee lugha au madaktari na rushwa Tanzania?

Hoja yako ni kuwa kwa sababu hao ni madaktari ni muhimu basi ni stahili yao kulipwa hayo mamilioni. Kama mshahara unaendana na umuhimu basi madaktari kokote kule wasingekubali kulipwa pungufu ya wacheza mpira au sinema maana wale wanatoa burudani tu wakati madaktari wanaokoa maisha. Unaposema kuwa si lazima madaktari walipwe kiwango cha juu cha mshahara kuliko mtu mwingine tuambie basi serikalini ni taaluma gani inaanza na mshahara mkubwa kushinda madaktari? Ukumbuke kuwa wakala wa serikali hawamo katika mfumo wa malipo ya serikali kwa hiyo hauwezi kujilinganisha na TanRoad, TAA, TRA na wengine kama hao. Lakini pamoja na hayo, tuambie ni fani gani hata katika hizo wakala wanaanza na mshahara wa milioni tatu kwa mwezi unaoutaka?

Kweli hoja zako ni juvenile. Yaani kukusahihisha kiingereza sasa unataka nikusahihishe na kiswahili? kama unajua ulikosea, basi kwa nini usijisahihishe mwenyewe? Mimi itakusahihisha yale makosa ambayo nimeyaona. kama sijakusahihisha basi uje sijaona kosa ( ambayo haina maana kuwa hakuna makosa). Sijawahi hata siku moja kujiita msomi kwa hiyo siwezi kujivunia kiingereza changu cha babia. Haulazimishwi kufuata masahihisho yangu hasa ukizingatia ukilaza wangu! Kujadili mada haina maana mtu hauruhusiwi kudigress unapoona inabidi. hata wewe ukiona kiswahili/kiingereza changu kina walakin, unaweza kunisahihisha namio nitakushukuru.



Ndiyo maana nikasema wewe kilaza na hujui unenalo.Kwanini una-conclude kwamba mimi ni daktari na nafanya kazi bongo?Yes zipo nchi zinazoheshimu taaluma za watu na siyo udaktari tu na zimepiga hatua kubwa sana kimaendeleo kwa sabau hiyo.Wapi nilipotetea rushwa?

Kumbe unajipendekeza tu kwa madaktari! Mada yote hii inahusu madaktari wa Muhimbili kuendekeza rushwa. Kwa kuwatetea ina maana unatetea wao kupokea rushwa. Tatizo lako unadhani kuheshimiwa ni kulipwa mishahara minono wakati wananchi wengiene wanakufa njaa. Cuba wana maendeleo zaidi ya Marekani kiafya lakini madaktari wao wakati mavuno ya miwa walikuwa wakiingia shambani kukata miwa. Nchi za Scandinavia wamepata maendeleo makubwa katika maeneo ya afya bila kuwalipa madaktari wao wanaofanya kazi serikalini mishahara isiyoendana na hali ya wananchi wengine. China wamepata mafanikio katika afya kutokana na sera ya barefoot doctors na si CAT Scan kila kijiji ambao waliweka mbele kinga kuliko tiba ( China iliwafuta walipoingiza ubepari lakini sasa hivi wanataka kuwarudisha)! Kote huko madaktari wanaheshimiwa sana na jamii kwa sababu wanatambulika kuwa wameweka afya za wanachi wenzao mbele kuliko vipato vyao binafsi.

Nafurahi umekiri kwamba huna mamlaka hayo,manake uliikomalia sana hii sentensi yako.Anyway mimi sijakwita mshabikia maovu kwavile unatetea madaktari kuminywa kipato,nakuona ni kama mtu ambaye analeta hoja za upande wa pili wa shilingi.Kwahiyo u just bring it on manake sikwaziki hata kidogo na hizo name calling.

Hivi name calling maana yake nini? Mimi nakujibu kutokana unachoandika. Unachokifanya si tatizo kwangu lakini ninapoona unakosea nitakueleza.
Bado nasimamia hoja yangu ya kuwa umeenda shule lakini haujaelimika. Tunaweza kusema kuwa mtu anaminywa mshahara pale ambapo tuna uhakika kuwa anayelipa mshahara huo ana uwezo wa kumlipa zaidi. Mpaka sasa hamjaonyesha uwezo huo utatoka wapi badala yake mnang'ang'ania tu kuwa mko entitled kulipwa mamililioni. Ni selfishness ya hali ya juu.


Ha ha ha mkuu unachekesha sana.Achana na defensive mechanisms za kitoto,leta hoja.Kama matusi labda utaanza wewe na nitaku ignore tu,kwani sina muda huo na hata sasa najitahidi tu kukupa attention,lakini kiukweli ilibidi niachane nawe zamani tu
.

Defensive mechanism zipi tena? Matusi yapi tena? Unataka sasa kujifanya paragon of virtue! Wewe ndiye uliyesema hautachoka kunijibu. Mimi ninachokuambia kuwa nina kikomo cha ku-argue na fools. Kikomo kikifika hautanisikia.

Amandla........
 
Ama kweli nyoka akikabwa koo!!

Madaktari hawana nafasi ya kukwapua fedha za serikali kama wewe mhasibu au mkurugenzi,
Wateja wao ni wagonjwa,

Wakati wamegoma wakidai kuongezewa mishahara hakuna mwananchi hata mmoja aliyewatetea, nyote mliwaona wajinga na kuwacheka
Sasa wamejua mbinu ya kuzitunza familia zao ndo mnalalamika
Hakuna asiyependa maisha mazuri, wewe kama unaendesha benz, hata daktari anapenda
Kama udaktari ni wito, mbona wewe hukusomea ili uwasaidie ndugu zako?
Kama udaktari ni wito; mara ngapi umepeleka sadaka kwa familia ya daktari kama unavyopeleka kwa mchungaji, padre n.k

Everything has its price my dear, kama huwezi kulipa you know the price you will pay...
Unless we pay them well, this will never stop
We cant have a good health system at the expense of docs
, we have to pay for it either way.

So ndugu yangu acha kulalamika. Mbona huongei kuhusu pesa ya barabara uliyoiba?, pesa ya miradi ya maendeleo uliyoiba na kujenga nyumba yako mbezi beach? Mbona huongei kuhusu pesa ya watu uliyochelewa kusaini wakati wameitolea jasho? Mbona huongei kuhusu chek feki ulizosaini ili ujipatie mali? Unajua ni watu wangapi walikufa kwa sababu ya wizi wako?

Acheni kuhukumiana, kwa nchi yetu ilivyo kwa sasa hakuna mtu anayeweza kumnyooshea mwenziye kidole,
Waacheni madaktari watafute chakula ya familia yao kama nyinyi mnavyoiibia serikali kutafuta chakula kwa watoto wenu khaaaaaa!!!!!!!! Mnataka wale polisi???

Hapa umenigusa sana mzee! huu ni ukweli mtupu bila chenga..
 
Post yako hiyo hapo juu. Kwa hiyo unataka kutuambia kuwa haukuwa na uhakika na hiyo miaka 13? Ilikuwa nadharia tu? Hiyo namba uliipataje maana wewe si daktari wala haujui mtu aliye daktari? Uli-google?

Siku hizi suala la kujua vitu vidogovidogo kuhusu taaluma mbalimbali limerahisishwa sana na ndiyo faida ya kuwa na mtandao wa internet,kwani huitajikwenda medical school kujua inachukua muda/miaka mingapi approximately ili mtu awe daktari bingwa wa magonjwa ya moyo kwa mfano.Kwahiyo kuuliza najuaje wakati mimi si Daktari ni ujinga tu.


]Hoja yako ni kuwa kwa sababu hao ni madaktari ni muhimu basi ni stahili yao kulipwa hayo mamilioni. Kama mshahara unaendana na umuhimu basi madaktari kokote kule wasingekubali kulipwa pungufu ya wacheza mpira au sinema maana wale wanatoa burudani tu wakati madaktari wanaokoa maisha. Unaposema kuwa si lazima madaktari walipwe kiwango cha juu cha mshahara kuliko mtu mwingine tuambie basi serikalini ni taaluma gani inaanza na mshahara mkubwa kushinda madaktari? Ukumbuke kuwa wakala wa serikali hawamo katika mfumo wa malipo ya serikali kwa hiyo hauwezi kujilinganisha na TanRoad, TAA, TRA na wengine kama hao. Lakini pamoja na hayo, tuambie ni fani gani hata katika hizo wakala wanaanza na mshahara wa milioni tatu kwa mwezi unaoutaka?

Unarudia tena kuchanganya vitu.Hivi Drogda wa Chelsea kama sikosei,mshahara wake analipwa na serikali ya Uingereza?Kwanini Daktari aliyeajiliwa na serikali ya Uingereza agome eti kuishinikiza serikali imlipe zaidi(anyway wanalipwa vizuri tu) ya Drogba?Mkuu siyo siri kwamba kwa nchi za wenzetu mfano US madaktari ndiyo wanaoongoza kwa mishahara minono.Na wako strict kweli na kazi zao kwani ukizembea kidogo tu kwenye utendaji basi utakula ma lawsuits mpaka utajutia kwanini hata ulienda medical school.Kwahiyo sioni ubaya wowote hata hapa kwetu ikifanya hivi,badala ya kulipana maposho tuu na matumizi mengine yasiyokuwa na tija kwa taifa.Hoja yako ya kusema Madaktari wasilipwe vizuri kwa vile waalimu nao hawalipwi vizuri au wafanyakazi wengine wa serikali hawalipwi vizuri naiona haina maana.Dawa ni kulipa vizuri hawa watu waachane na virushwa vya kipuuzi.Ndiyo maana kuna wengine wamejibu hapa kuwa kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake.Mwalimu atakaba mzazi/mwanafunzi nk.Tena wakauliza;je daktari yeye akale wapi na mshahara haumtoshi?Lakini mleta hoja na wewe mnasema Madaktari wa Muhimbili waache kuomba rushwa wagonjwa wao.Vipi mbona hamleti thread hapa za kuomba watumishi wengine wa serikali waache rushwa?Kila wakati ni malalamiko tu kuhusu madaktari kama memba mmoja alivyosema.Why?Kwa sababu Medicine ni muhimu,japo mangwini inawauma sana hii,lakini mpende,msipende,madaktari ni muhimu sana,kwa sababu unazungumzia suala la uhai au kifo.Kwahiyo mnataka nyinyi muendelee kukaba kwenye ofisi zenu,ila yeye Daktari akae tu asubirie ki laki 3,mwisho wa mwezi kimtatulie shida zake zote?

Kweli hoja zako ni juvenile. Yaani kukusahihisha kiingereza sasa unataka nikusahihishe na kiswahili? kama unajua ulikosea, basi kwa nini usijisahihishe mwenyewe? Mimi itakusahihisha yale makosa ambayo nimeyaona. kama sijakusahihisha basi uje sijaona kosa ( ambayo haina maana kuwa hakuna makosa). Sijawahi hata siku moja kujiita msomi kwa hiyo siwezi kujivunia kiingereza changu cha babia. Haulazimishwi kufuata masahihisho yangu hasa ukizingatia ukilaza wangu! Kujadili mada haina maana mtu hauruhusiwi kudigress unapoona inabidi. hata wewe ukiona kiswahili/kiingereza changu kina walakin, unaweza kunisahihisha namio nitakushukuru.[/FONT][/SIZE]

Yah ni za ki juvenile kwavile im young,im a new generation.Sifikirii kizeezee kama wewe.Hakuna popote uliposahihisha na nakuona limbukeni tu kukimbilia kuangalia makosa ya watu wanapoandika sentensi za Kiingereza ilhali Kiingereza chenyewe hata hukijui sawasawa.Ni ulimbukeni kwa sababu hata Waingereza wenyewe pia wanafanya makosa katika Kiingereza.Jiulize wewe Kiswahili chako kimekamilika?Sasa itakuwa Kiingereza ulichojifunzia ukubwani?Ndiyo maana nikasema ni ujinga tu unawasumbua watu kama wewe mnaodhani kujua Kiingereza ndiyo usomi.
Mimi sina muda wa kusahihisha lugha ya mtu.Lengo kuu la lugha ni mawasiliano.Nikikuelewa umeandika nini,inatosha sana.Na zaidi nathamini zaidi hoja ya mtu na katika kazi nathamini sana utendaji wa mtu na siyo umahiri wa kuandika au kuzungumza au kujua lugha fulani.Kwahiyo im sorry sir,sitakuwa na muda wa kusahihisha lugha utakayotumia hata kama kutakuwa na makosa.Nisipokuelewa,nitakuuliza unifafanulie zaidi.





Kumbe unajipendekeza tu kwa madaktari! Mada yote hii inahusu madaktari wa Muhimbili kuendekeza rushwa. Kwa kuwatetea ina maana unatetea wao kupokea rushwa. Tatizo lako unadhani kuheshimiwa ni kulipwa mishahara minono wakati wananchi wengiene wanakufa njaa. Cuba wana maendeleo zaidi ya Marekani kiafya lakini madaktari wao wakati mavuno ya miwa walikuwa wakiingia shambani kukata miwa. Nchi za Scandinavia wamepata maendeleo makubwa katika maeneo ya afya bila kuwalipa madaktari wao wanaofanya kazi serikalini mishahara isiyoendana na hali ya wananchi wengine. China wamepata mafanikio katika afya kutokana na sera ya barefoot doctors na si CAT Scan kila kijiji ambao waliweka mbele kinga kuliko tiba ( China iliwafuta walipoingiza ubepari lakini sasa hivi wanataka kuwarudisha)! Kote huko madaktari wanaheshimiwa sana na jamii kwa sababu wanatambulika kuwa wameweka afya za wanachi wenzao mbele kuliko vipato vyao binafsi.

Kumbe kutetea kile unachokiamini ni kujipendekeza?Na wewe unajipendekeza kwa nani?Cuba ina maendeleo gani katika sekta ya afya kuishinda Marekani?Au kuwa na madaktari wengi?Lakini are they competent?Wana vitendea kazi vya kisasa?Unaona Daktari kwenda kulima miwa baada ya kulipwa dola 100 eti nayo sifa?Ndiyo maana nikasema hatuelewani kwavile wewe si wa kizazi changu!Mawazo yako ya kijamaajamaa sana.
Binafsi nilishawahi kufika Denmark,Norway na Sweden.Na madaktari wanalipwa vizuri sana hasa Norway.Sijafika Finland na Iceland.Hizo nchi za Scandinavia unazosema madaktari hawalipwi vizuri ni zipi?



Hivi name calling maana yake nini? Mimi nakujibu kutokana unachoandika. Unachokifanya si tatizo kwangu lakini ninapoona unakosea nitakueleza.
Bado nasimamia hoja yangu ya kuwa umeenda shule lakini haujaelimika. Tunaweza kusema kuwa mtu anaminywa mshahara pale ambapo tuna uhakika kuwa anayelipa mshahara huo ana uwezo wa kumlipa zaidi. Mpaka sasa hamjaonyesha uwezo huo utatoka wapi badala yake mnang'ang'ania tu kuwa mko entitled kulipwa mamililioni. Ni selfishness ya hali ya juu.

Sawa Mkuu miye sijaelimika!Are u happy now??Wewe mwenzangu umeelimika kwavile unaamini kabisa serikali yetu haina pesa/vyanzo vya pesa vya kuboresha maslahi ya madaktari na hospitali zetu.Kama kuelimika ndiyo huku,bora niendelee na kutoelimika kwangu tu!

[/COLOR]Defensive mechanism zipi tena? Matusi yapi tena? Unataka sasa kujifanya paragon of virtue! Wewe ndiye uliyesema hautachoka kunijibu. Mimi ninachokuambia kuwa nina kikomo cha ku-argue na fools. Kikomo kikifika hautanisikia.

Ukileta hoja,tutakeshi mkuu,acha kulialia,leta hoja tujadili!Nakusubiri kwa hamu!
 
Sasa jamani mbona mnatuchanganya! hii thread inazungumzia MOI (Muhimbili Orthopaedic Institute) au MNH (Muhimbili National Hospital) maana MOI hawafanyi operation za Tonsilectomy? msituchanganye bana.

wewe umelewa hujui kinachojadiliwa kwa nini usiende kulala, pombe zikikutoka ndo urudi jamvini?
 
HTML:
Mkitaka msiendelee kufa,boresheni maslahi ya madaktari,boresheni mazingira ya kazi na hospitali zenu kiujumla.Hapo ndipo mtaweza kupata huduma bora.Unaona nongwa daktari kulipwa milioni?milioni nayo hela?Wewe unajua uchungu na shuruba za kusoma medicine?Wabunge mbona wanalipwa mamilioni lakini hampigi kelele?Wanachofanya nini hasa kule bungeni?Watu wengine bwana,hovyo
HTML:
Yes kwa jinsi maisha yalivyopanda na ukizingatia umuhimu wao-mshahara wa Daktari(MD)anayeanza kazi walau usiwe chini ya M3.Swimming pools siyo muhimu na unafahamu kuwa siyo muhimu,isipokuwa CT scanning ni muhimu sana kuwepo walau walau hata mngejitahidi katika kila hospitali ya mkoa pawe na hiki kipimo.CT scan umeitaja wewe,lakini pia kuna vipimo vingine muhimu sana(sitavitaja-kuokoa muda),hatunavyo hapa nchini vya kusaidia kufikia true positive diagnosis mapema,hivyo kufanya pia matibabu sahihi yaanze mapema.Unafiki maboresho yangetosha kama unavyojaribu kutetea,Mzee Malecela angekwenda kupasuliwa moyo Uingereza?
Kusema Daktari asilipwe vizuri kwa vile walimu hawalipwi vizuri ni upuuzi.Mbona kwa wenzetu,madaktari wanalipwa vizuri kuliko waalimu au hata nyie watu wa BA na hakuna kelele?kwanini?Huwezi kujua uchungu wa medical school kwa kusimuliwa.Ukisimuliwa utaona ni rahisi tu,utasema mbona hata nyie na kozi zenu za miaka mitatu mitatu huku mnakwenda club kila mwisho wa wiki,mmesoma na mnaujua uchungu wa kung'atwa na mbu na ku sup.Mtu amesotea chuoni miaka karibu 13 kuwa bingwa,na kazi yenyewe ni delicate na bado inamlazimu asome sana pia hata sasa baada ya kumaliza shule kwa faida yenu nyinyi kila Fundimchundo,halafu unampa mshahara sawasawa na mpiga deni wa TRA??Halafu wewe unaona sawa tuu,eti wito,dah!
We bwana mdogo ni mjinga tu. yaani unaandika upupu huu halafu unakataa hujasema wewe ni daktari. hebu kuwa. Usidhani hapa jamvini wewe peke yako ni Daktari. Eti mbona rushwa wanasemwa madaktari tu. Unasahau polisi na mahakama kila siku hadithi zao hapa. je TRA? Utakuwa lini? Unavyotaja hiyo miaka mitano, hivi unadhani watu wanavyochagua cha kusoma huwa hawaplan? Wanajua wanafanya nini na ndio maana hawalalamiki kitoto. Kama huna ethics hapa utaambiwa tu.
 
p53,

Ni upunguani kuamini kuwa ni madaktari peke yao wanaolaumiwa kuhusu upokeaji wa rushwa. Humu ndani mapolisi, wanasiasa, wahandisi n.k. wote wameishalaumiwa na wataendelea kulaumiwa. Madaktari sio sacrosant. Wakitenda uovu, nao watalaumiwa.

Unapolalamika kuwa madaktari wanaofanya serikalini Tanzania wanapunjwa mishahara ni lazima ulinganishe na wafanyakazi wengine serikalini. Nimekuuliza na umeshindwa kujibu," ni taaluma ipi serikalini ina mshahara wa kuanzia mkubwa kuliko wa madaktari?" Madaktari katika nchi hii wanaenziwa. Hauwezi kulinganisha na taaluma nyingine.

Dhana ya kusema kuwa wanaomba rushwa ati kwa sababu hawalipwi vizuri ni potofu. Mbona TRA wanalipwa vizuri, lakini rushwa bado mtindo mmoja? Watu tunawalaamu madaktari wanaoweka mbele rushwa kwa sababu tofauti na fani nyingine, wamekula kiapo kumhudumia mgonjwa inavyopaswa na wao wanakuwa na roho za wagonjwa mikononi mwao.

Nimekuita juvenile kwa si kwa sababu ni kijana bali kutokana na upeo wako wa kufikiri. Mtu aliyekomaa hawezi kulalamika kwa sababu kaonyeshwa wapi alikosea. Ni dalili ya inferiority complex.

Hivi vigezo vya afya ya wananchi ni vipi? Life expectancy Cuba haitofautiani na ya USA ambayo ni tajiri mara nyingi zaidi yake. Ubora wa afya unapimwa na accessibility ya wagonjwa na huduma za afya, kitu ambacho ni tatizo Marekani ( ndiyo chimbuko la mabadiliko aliyoleta Obama kwenye sera ya huduma za afya). Mbaya zaidi, kuna sehemu kubwa ya raia wa Marekani ambao hali ya maisha yao ni duni mno hasa ukitilia maanani utajiri wa nchi yenyewe.

Nchi za Scandinavia ni social welfare states ambako zinahakikisha kuwa vipato havitofauti mno kati ya raia zake. Serikalini, mishahara ya madaktari haitofautiani mno na kwa mfano ya walimu. Norway ni moja za nchi tajiri mno duniani kwa hiyo ni lazima mishahara ya wafanyakazi wote ilingane na utajiri wake. Ukubwa wa mishahara ya madaktari Marekani ina reflect vile vile ukubwa wa madeni ambayo madaktari kule wanabeba, kitu ambacho sidhani kama madaktari wetu wanakuwa nacho.

Misemo ya kipuuzi ya kuwa kila mtu atakula pale alipo ndiyo inayochangia kwa kiasi kikubwa hii hali tuliyonayo. Na inasikitisha zaidi kuona nyinyi mnaojiita vijana ndio mliokuwa nayo. Huo ujamaa wa Nyerere unaoubeza, ndio ulioiwezesha nchi yako kuwa na mojawapo ya viwango vya elimu na huduma za primary health bora Afrika. Mmekuja vijana, mmetupa jongoo na mti wake.

Amandla........
 
HTML:
mambo ya Guyton and Hall...
sikumbuki wizi pale zaidi ya kukimbizana na malaya wa Jolly!Lakini its not fair mkuu,huyo kijana ni njaa tu ilikuwa inamsumbua.Wangejaribu kuokoa maisha yake
Wewe P53 unaikumbuka hii post yako? Ulikuwa ulikuwa unazungumzia nini? Endelea kukataa unasahau ulishajitaja wewe ni nani, unabaki kupiga kelele hapa. Tetea huku ukisema Professional yako sio unajitetea kwa kivuli.
Halafu wewe unayejikataa si Daktari hivi na MBA yako ulimaliza?
gonga hapa;
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ts-of-shame-prof-pallangyo-3.html#post1381859
 
Pamoja!Wacha ni finalize MBA yangu kwanza hafu nicheki mchongo,kama unalipa nipige chini biashara ya kushikashika stethoscope!

Asante Mkuu Anfaal. Kumbe haka kajamaa si juvenile tu bali ni kaongo pia! Kama ni kweli ni daktari basi inabidi kweli inabidi niongeze bidii kuiombea nchi yangu badala ya kuendeleza mabishano nae.

Amandla......
 
Wakati hospitali hazina dialysis machines, hazina mashine za ultra sound, gloves zenyewe shida, n,k. This fool anataka kuweka CT Scanners katika kila mkoa akidhani hayo ndio maendeleo. Kufanyiwa CT scan moja ni karibu ya laki, leo unataka kuwawekea watu ambao unaweza ukapita mwezi bila kushika noti ya sh 1000! Tanzania si Dar es Salaam na shida zetu ni more basic kuliko unavyodhani. Hizo ivory towers zenu zinawafanya kuwa delusional. Mnasema sh. milioni moja ndio nini wakati bungeni inapendekezwa hoja ya kuwapatia wazee wote sh 20000 ( shilingi elfu ishirini) ili iwapunguzie ukali wa maisha!

Amandla.....
 
Ozzie, P53...naona mnabishana na mbumbumbu Fundi 'Feki' Mchundo ambaye anaonekana wazi ana 'chuki binafsi' na fani ya udaktari, labda alishindwa kuafulu kiasi cha kuweza kujoin medical school..maana naona ametoka kwenye mada ya rushwa na kukimbilia affairs za medical profession per se! Mnapoteza muda wenu, najua Ozzie una wagonjwa zaidi ya 100 wanakusubiri Mwaisela, na wanafunzi wa udaktari kama 30 wansubiri uwape shule ili waje kutukanwa na watu mbumbumbu ka Fundi huyu feki. Mtaokoa muda wenu kama mtaenende kwenye kazi zenu na kuachana na huyu jamaa!
 
Ozzie, P53...naona mnabishana na mbumbumbu Fundi 'Feki' Mchundo ambaye anaonekana wazi ana 'chuki binafsi' na fani ya udaktari, labda alishindwa kuafulu kiasi cha kuweza kujoin medical school..maana naona ametoka kwenye mada ya rushwa na kukimbilia affairs za medical profession per se! Mnapoteza muda wenu, najua Ozzie una wagonjwa zaidi ya 100 wanakusubiri Mwaisela, na wanafunzi wa udaktari kama 30 wansubiri uwape shule ili waje kutukanwa na watu mbumbumbu ka Fundi huyu feki. Mtaokoa muda wenu kama mtaenende kwenye kazi zenu na kuachana na huyu jamaa!
mkuu umeshtukia ee?msiumize vichwa na watu wenye low self esteem.ni kawaida sana kusikia madaktari wa muhimbili wauaji,manurse wa mwananyamala wanaua watoto,hospitali ya amana ni machinjion n.kingawa ukijaribu kuuliza uthibitisho wa madai haya utasikia vijistori vya kutunga!Kinachoshangaza huwezi kusikia madaktari au manurse wakisifiwa hasa pale afya ya mtanzania inapoboreka mfano vifo vya mama na mtoto vikipungua sana sana utasikia sifa inaenda kwa mkuu wa mkoa au kwa chama tawala.Fundi mchundo haelewi kwamba serikali inalazimisha madaktari bingwa waende mikoani sasa anategemea madakta hawa wakatoe emperical treatment kama Clinical officers?!wanahitaji vitu kama C.T SCANNERS n.k kama tunaweza kununua mashangingi zaidi ya 200 kwa wabunge iweje tushindwe kununua hizo scanners kwa mikoa 28?
 
Kufanyiwa CT scan moja ni karibu ya laki, leo unataka kuwawekea watu ambao unaweza ukapita mwezi bila kushika noti ya sh 1000! Tanzania si Dar es Salaam na shida zetu ni more basic kuliko unavyodhani.
hivi hii michango ya harusi huwa inatolewa na watanzania hawa hawa wasioshika 1000 kwa mwezi?nyie ndo wale mnaoshindwa kuchangia huduma za mgonjwa lakini wepesi sana kuchangia majeneza na tisheti(sare) za msiba.Shame on you!Kweli unaendana na username yako hufikirii, kazi yako ni kuangalia manual na kufanya tu.
 
nilitaka ufahamu kuwa kuna muhimbili national hospital(MNH) na hiyo MOI uliyoitaja.Rekebisha hiyo title ya thread inageneralise sana.

ZOTE NI MUHIMBILI NA ZIPO MUHIMBILI NA ZOTE ZINAFANYA KAZI KWA UTARATIBU MMOJA WA UOZO. Kama sivyo, mheshimiwa Malechela angepelekwa hapo! Tusidanganyane, Tz hatuna "huduma ya Afya kwa walala hoi na watu wa kati"
 
Back
Top Bottom