mjumbe wa bwana
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 5,188
- 6,011
ushaona la firauniHahaha sio kweli walikuwa wa kawaida tu kama sisi tulivyo Mzee! Unaweza kuangalia mabaki ya miili yao Online
kwanza binadamu wa kale(meanzo) walikuwa ni nguvu zikiambatana na miili mikubwa
rejea mnara wa babeli inaaminika kuna jiwe kubwa walilipandisha juu sasa jiulize kulikuwa hakuna winch walipandishaje
pili rejea abari za Daudi na Goliath