Hadi sasa watanzania zaidi ya 1500 wamekufa kwa kukosa huduma kutokana na mgomo wa madaktari wa mwezi wa tatu na huu wa juzi.
angetafuta kwanza nchi ya kuishi na kufanya kazi. Hii itamsaidia yeye mwenyewe na familia yake kwani ulimboka siyo mtanzania huru tena. Hata kama hakuna mtu wala chombo kinacho hatarisha uhai wake, bado yeye ataishi katika hofu hiyo.
Na kama ataamua kurudi na kuishi tanzania, basi awe mwangalifu na yule daktari rafikiye wa karibu ambaye hata siku anatekwa walikuwa wote.
Dr. Steve ana sifa zote za kupata status ya mkimbizi wa kisiasa, kwa kuw hatari ya kudhuliwa au kumalizwa kabisa bado ipo, nashauri asirudi TZ mpaka nchi hii itakapo pata Uhuru wake, sijui itakuwa ni lini,hapo ni kitendawili.
Homosapien na wewe unajitahidi kuja na mawazo ya kale! watanzania wote wangekuwa kama wewe Tanzania isingekuwepo.Kwanza aombe radhi watanzania wote kwa vifo vilivyotokea wakati akihamasiha mgomo wa madaktari ,kisha aache kudharau mahakama , serikali na watu wake mwisho ajitayarishe akirudi lazima ajibu kesi yake ya kuvunja sheria kwa kuongoza mgomo batili na kusababisha mauaji ya halaiki ya wagonjwa tena watanzania wenzake.
Dr. Steve ana sifa zote za kupata status ya mkimbizi wa kisiasa, kwa kuw hatari ya kudhuliwa au kumalizwa kabisa bado ipo, nashauri asirudi TZ mpaka nchi hii itakapo pata Uhuru wake, sijui itakuwa ni lini,hapo ni kitendawili.