Niupe point nitazitoa wapi wakati JK mwenyewe hajajishugulisha kuzitafuta. Ni aibu, aibu, aibu... Mzee kigugumizi muda wote, kageuza mdahalo kijiwe cha stori na mwisho wa siku ametoka bila kuelezea hata sera moja. Alichokifanya ni kuwashawishi waliokuwa hawajaamua kumpa kura Dr Slaa wampe bila kinyongo. Hivi wanamwita Dr JK hawaoni aibu???Kwa wale tu waliokua na mda wa kumsikiliza mkuu wa nchi anaemaliza mda wake, yaani ex-president. Je umeguswa vipi na unampa maksi ngapi?
Update: Nawashukuru wote ambao mko objective, unapotoa maksi utoe na sababu hatutaki kumwonea mtu tukapigana vikumbo na kina riz1, miraji pale kitaani
Anatuletea hadithi za mahawara zake aliokutana nao na mtoto zinahusu nini ktk taifa lililojaa uozo kama hili,hapa mi naona heading ingekuwa tunampa bakora ngapi instead of points!!
Na amekiri kutojua hesabu, ndio maana the mining ration is 3:97. wapi na wapi, jamaa anatupoteza vibaya sana.0/100: kajitungia maswali na kuandaa marking scheme,
Hilo ameshalijibu, kasema alikimbia sayansi na hesabu akachukua jiografia. Huwa anataja hizo nchi kuonyesha ujuzi wake wa jiographia. kwa hilo nampa 53%
nawashukuru wote ambao mko objective, unapotoa maksi utoe na sababu hatutaki kumwonea mtu tukapigana vikumbo na kina riz1, miraji pale kitaani..
mimi mwanazuoni na sup nimepata sana. HASTAHILI SUP, NI DISCO HUYUSupplementary .... ... wakati najua atakuwa discontinued tu
Kwa mkwere leo ni sawa na kumtungia pepa mwanafunzi wako umuulize 'haja kuu ya walemavu ni nini' yeye akujibu HAJA KUBWA YA WALEMAVU NI MA.VI. Unaulizwa kingine unajibu kingine tena kwa kuchefua zaidi. Huyu JK(BA Economics with 2.0 GPA) alifaa awe mkurugenzi wa THT!Kwa wale tu waliokua na mda wa kumsikiliza mkuu wa nchi anaemaliza mda wake, yaani ex-president. Je umeguswa vipi na unampa maksi ngapi?
Update: Nawashukuru wote ambao mko objective, unapotoa maksi utoe na sababu hatutaki kumwonea mtu tukapigana vikumbo na kina riz1, miraji pale kitaani