Unaujua uzito wako?kama hujui pima uzito wako hapa bila kutumia mzani

Mkuu thread yako ingesomeka hivi:
"Je, unajua uzito wako HALISI? Kama..."

Hii thread yako mkuu itakuwa na utata bila kuweka neno halisi. jamaa amepima ktk
mzani 98kg, yeye ana urefu wa cm 178 toa 100 utapata kilo 78 (uzito halisi), kisha
unamwambia kuwa 98 siyo uzito wako,
uzito wako ni 78kg punguza 20kg au ongeza uzito kama
umepungua chini ya
78kg. Formula hii inakuwa aina maana.
 
hata watu wa afya wanashauri kuitumia hii formula wamewahi kunipakt ika tamasha moja pale mnazi mmoja
 
Back
Top Bottom