Ndio ENDELEA jeana umri gani?Mtoto kutoka mgongo {sina uhakika kama ndo jina maalum}
sana anakuwa kama bata vile,umri ni miaka 3
Sawa Mkuu,chungiza Kama anaharisha Sana au anapata choo kigumu mno au ana chuchumaa muda mrefu baada ya majibu hayo ndo tunaweza pata ufumbuzi je Ni ugonjwa au laa, na Kama Ni iugonjwa basi Ni viashiria vya ugonjwa ganiNi kawaida yangu
hivi kutoka mgongo ndio rectal prolapse ?Sawa Mkuu,chungiza Kama anaharisha Sana au anapata choo kigumu mno au ana chuchumaa muda mrefu baada ya majibu hayo ndo tunaweza pata ufumbuzi je Ni ugonjwa au laa, na Kama Ni iugonjwa basi Ni viashiria vya ugonjwa gani
Ndio mkuu na kutoka mgongo kupo kwa Aina 2 , internally na externallyhivi kutoka mgongo ndio rectal prolapse ?
maana niliishasikia watu wakitumia hilo neno "kutoka mhongo" lakini mpaka leo sijui kama ndio hivyo.
NimekupataNdio mkuu na kutoka mgongo kupo kwa Aina 2 , internally na externally
Internally huwa na malenda malenda na hauonekani vema kwa nje
Externally, hutokeza kabisaa nje na huwa Ni life threatening Kama hutowahi tiba.
Kuna visababishi vingi Kuna nilivyo eleza huko juu lakini pia wengine mkandamizano wa backside hisababisha Hali hii
AhsanteNimekupata