Unaujua ugonjwa huu?

Mleta mada hiyo anaetoka mgongo Nani wako mbona una aandika Kama upo kwenye mashindano ya Mbio?
 
Ni kawaida yangu
Sawa Mkuu,chungiza Kama anaharisha Sana au anapata choo kigumu mno au ana chuchumaa muda mrefu baada ya majibu hayo ndo tunaweza pata ufumbuzi je Ni ugonjwa au laa, na Kama Ni iugonjwa basi Ni viashiria vya ugonjwa gani
 
Sawa Mkuu,chungiza Kama anaharisha Sana au anapata choo kigumu mno au ana chuchumaa muda mrefu baada ya majibu hayo ndo tunaweza pata ufumbuzi je Ni ugonjwa au laa, na Kama Ni iugonjwa basi Ni viashiria vya ugonjwa gani
hivi kutoka mgongo ndio rectal prolapse ?

maana niliishasikia watu wakitumia hilo neno "kutoka mhongo" lakini mpaka leo sijui kama ndio hivyo.
 
hivi kutoka mgongo ndio rectal prolapse ?

maana niliishasikia watu wakitumia hilo neno "kutoka mhongo" lakini mpaka leo sijui kama ndio hivyo.
Ndio mkuu na kutoka mgongo kupo kwa Aina 2 , internally na externally

Internally huwa na malenda malenda na hauonekani vema kwa nje

Externally, hutokeza kabisaa nje na huwa Ni life threatening Kama hutowahi tiba.
Kuna visababishi vingi Kuna nilivyo eleza huko juu lakini pia wengine mkandamizano wa backside hisababisha Hali hii
 
Ndio mkuu na kutoka mgongo kupo kwa Aina 2 , internally na externally

Internally huwa na malenda malenda na hauonekani vema kwa nje

Externally, hutokeza kabisaa nje na huwa Ni life threatening Kama hutowahi tiba.
Kuna visababishi vingi Kuna nilivyo eleza huko juu lakini pia wengine mkandamizano wa backside hisababisha Hali hii
Nimekupata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom