Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 12,373
- 19,376
Bendera yako na nani ? Yeye sio yake ? Hata kudhalilika / Aibu ni subjective..., hata mimi naweza kusema comment yako inaleta aibu kwa mtu kuongea kwenye sentensi moja na neno bendera..., Ila Je nikupangia cha kusema ?Swadakta. Hamna kashfa. Msabahi mkeo kama anavyo vichupi hivyo.
Narudia tena mauno kunengua hamna issue... Concern ni bendera yetu ya taifa kudhalilika.
We love this nation too much ! The slightest disrespect to our flag inatukera !
Period
Mambo ya kuanza kupangiana maisha na kufuatiliana hayana mwisho mzuri..., Watu wenye fikra kama hizi ndio zamani wangeweza kumtoa kafara dada wa watu eti kwamba huenda mvua hazinyeshi au laana ya yeye kufanya hayo ndio Corona imekuja... Very Dangerous Thinking...
Tusipangiane maisha...