GentleGiant
JF-Expert Member
- Sep 22, 2021
- 584
- 541
Nalipa kodiWatu wengi ni wabinafsi sana; na hii inaathiri hata uhusiano kwa jamii inayomzunguka. Una miaka mingi uko mjini unapambana kutafuta kipato; na wapo waliofanikiwa kwa kuwa na kipato kingi cha ziada.
Matokeo yake, kipindi cha mapumziko (likizo), unaenda kuwatembelea kijijini ulikozaliwa, na kuwatimulia vumbi zito; huku hujawahi kuchangia maendeleo yoyote katika kijiji chako.
Swali: Unatumiaje kipato chako, kuboresha mazingira ya kijiji ulipotoka?