bway hermit
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 1,311
- 2,301
- Thread starter
- #81
Duh unatisha aisee,hongeraCreed
Duh unatisha aisee,hongeraCreed
huu ulevi siyo poa yaani.Mpaka inabidi wakati mwingine hata mke akikuuliza hii saa/unyunyu ni sh.ngapi inabidi umuongopee maana ukinyosha maelezo tu ni ugomvi.Saa yes tuko pamoja hapo ulevi wangu pia nakumbuka niligombana na rafiki zangu niliponuanua s3 gear kwa milioni 1 na laki 2 nilikaa nayo miezi miwili tu nikaidondosha, ulevi mwingine simu hapo utaniua
Uliinunulia wapiHii nlinunua 850000 mkuu.
laki nane na nusu ni mtaji wa biashara gani mkuu, hebu tutete mambo yenye tijaHeeee! Huo si mtaji
Vingi tulaki nane na nusu ni mtaji wa biashara gani mkuu, hebu tutete mambo yenye tija
Mlimani city unapataNaipata wapi hii?
Naomba kujua Perfume original hizi naweza pata wapi ? Kwa Dar es salaamKwa sasa unajipuliza pafyum gani
Mimi Sauvage by Dior, wewe je? View attachment 1967811
Jamani weweHii nlinunua 850000 mkuu.
Cheki insta mwana anaitwa Giftedfragrance anazo OGNaomba kujua Perfume original hizi naweza pata wapi ? Kwa Dar es salaam
Ila "Miguel" unaaisha flan hivi, nitumie namba yako 'PMKiasi chochote cha pesa n mtaji wa mradi flan.
Hata 5000 unayotumia kueka bando n mtaji wa kutosha sana kwa biashara flan dr..
Kikubwa uishi ndan ya uwezo ulionao.
Kumbe TZ kuna watu, wanapesa. DahSaa yes tuko pamoja hapo ulevi wangu pia nakumbuka niligombana na rafiki zangu niliponuanua s3 gear kwa milioni 1 na laki 2 nilikaa nayo miezi miwili tu nikaidondosha, ulevi mwingine simu hapo utaniua
Yolanda bado ipo kweny gemMm bado napiga kitu cha yolanda na yu.
Nikiwa nimeoga kwa sabuni ya rexona