donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,043
- 21,517
Good afternoon madam,
Dont be offended, ofcourse am kidding! Salaam wakuu, kwa hakika mambo ya unyunyu ni unisex maana kila mtu anapenda kunukia vizuri tu. Sasa katika maswala ya categories za minukio, here am talking bou' body-sprays.
Body sprays zipo za aina nyingi sana na prices zina range tofauti maana nimeambiwa kuna hadi body spray za laki tano pesa taslim. Sasa kuna wale wenzangu na mimi ambao tunapenda tu kunukia fresh na sisi japo kwa low cost kidogo. Ndipo tunapoangukia kwa mkombozi wetu Smart Collection. Kwa buku tano tu, unaweza ukafanania angalau harufu na hiyo nyingine ambayo wanakua wamejaribu kucopy na kupaste.
Sasa si unajua kila mtu ana aina yake ambayo anaipenda mwenyewe? Lucchese personally natumiaga zangu Smart Collection No.40- COOL WATER FOR MEN na Smart Collection No.52 - L'EAU D'ISSEY (ISSEY MIYAKE) POUR HOMME.
So, wewe unatumia ipi? #LazyAfternoon
Dont be offended, ofcourse am kidding! Salaam wakuu, kwa hakika mambo ya unyunyu ni unisex maana kila mtu anapenda kunukia vizuri tu. Sasa katika maswala ya categories za minukio, here am talking bou' body-sprays.
Body sprays zipo za aina nyingi sana na prices zina range tofauti maana nimeambiwa kuna hadi body spray za laki tano pesa taslim. Sasa kuna wale wenzangu na mimi ambao tunapenda tu kunukia fresh na sisi japo kwa low cost kidogo. Ndipo tunapoangukia kwa mkombozi wetu Smart Collection. Kwa buku tano tu, unaweza ukafanania angalau harufu na hiyo nyingine ambayo wanakua wamejaribu kucopy na kupaste.
Sasa si unajua kila mtu ana aina yake ambayo anaipenda mwenyewe? Lucchese personally natumiaga zangu Smart Collection No.40- COOL WATER FOR MEN na Smart Collection No.52 - L'EAU D'ISSEY (ISSEY MIYAKE) POUR HOMME.
So, wewe unatumia ipi? #LazyAfternoon