Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,633
- 28,635
Hii sabuni bado ipo na uzuri uleule?
Imekua kitambo sana tangu niitumie. Napenda harufu yake
Hii sabuni bado ipo na uzuri uleule?
Ha ha ha sijaiona kitamboo. Moshi ndu huwa naionaga. Kuna ingine pia inaitwa kanga ingine komoa na mshindi. Hizi sabuni ni za kenya eh? Atleast jamaa najua ni lasway na kenyatta wana ubia. Hizi zingine mbona ni adimu sana?Naona JAMAA wamepindua meza
Ila.kuna moja inaitwa MBUNI iko poa sana
Hii ukiogea jioni na maji ya moto ya shower acha kabisaa sema huku dar sioni kama wanazimindigi wala. Naona kaskazini ndo zimezoeleka. Nazo ni za wakenya pia ama?
Ni za kenya na zinakuja kwa nadra sana siku hizi ila ni sabuni nzuri sanaHa ha ha sijaiona kitamboo. Moshi ndu huwa naionaga. Kuna ingine pia inaitwa kanga ingine komoa na mshindi. Hizi sabuni ni za kenya eh? Atleast jamaa najua ni lasway na kenyatta wana ubia. Hizi zingine mbona ni adimu sana?
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Ipo vilevile...waturuki nawakubali sana na bidhaa zao.Hii sabuni bado ipo na uzuri uleule?
Imekua kitambo sana tangu niitumie. Napenda harufu yake
hapana zinatoka uturuki. Ni sabuni bomba sana...2500 inaenda kihalali kabisa.Hii ukiogea jioni na maji ya moto ya shower acha kabisaa sema huku dar sioni kama wanazimindigi wala. Naona kaskazini ndo zimezoeleka. Nazo ni za wakenya pia ama?
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Itakia aisee. Maana zimekua adimu sana. Nadhani ni baada ya viwanda vyetu pia kizalisha sabuni nyingi ka hizo pia. Ila mbona katila ubora bado hatujazifikia zao aisee??Ni za kenya na zinakuja kwa nadra sana siku hizi ila ni sabuni nzuri sana
Ooh. Woow.. mimi kwakweli nazipenda sana. Mno. Ni nzuri sana. Harufu yake tamu sanahapana zinatoka uturuki. Ni sabuni bomba sana...2500 inaenda kihalali kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe mzeee sasaRevola was the best hizi kampuni sijui kwanini huwa zinakufa na kulikua na mafuta ya kupakaa ya YU na Yolanda
Nilikuwa nazipenda lkn sasa aaahHivi kile kikaratasi cha kwenye "EMPERIAL" mbona huwa akiishagi au hakilowi na kuchanika! Utaoga weee utamaliza sabuni yako baada ya wiki 2 lakini kile kikaratasi pale kinabaki vile vile!
ha ha ha ha ha ha vi mvi vimeanza mkuuWewe mzeee sasa
Hakika kabisa maana mpaka unajua AYU & YOLANDAha ha ha ha ha ha vi mvi vimeanza mkuu
Hapa ndio mkataba wangu ulipoView attachment 1263130