Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,184
- 4,538
Na dawa ya meno nzuri ni ipi jamani
Whitedent wa jero ulee
Colgate herbalNa dawa ya meno nzuri ni ipi jamani
Baadhi ya maeneo sidhan kama inapatikana hioColgate Max fresh
Dawa ya meno safi sanaView attachment 1875062
Huu ndio mswaki sasa.....
Inapatikana sehemu nyingi MkuuBaadhi ya maeneo sidhan kama inapatikana hio
Hii na herbal ipi n boraInapatikana sehemu nyingi Mkuu
Nimetumia zote,ula hii ni best,hata bei pia zinatofautianaHii na herbal ipi n bora
Hii ni dawa bora kabisa kwa uchumi wa katiColgate Max fresh
Dawa ya meno safi sanaView attachment 1875062
Heb leta pia picha hio ya external nioneHii ni dawa bora kabisa kwa uchumi wa kati
Ila bora zaidi ni EXTERNAL (15000 or 14000)
Iyo apo ni dawa bora snaHeb leta pia picha hio ya external nione
Kwa huku bush kwangu sidhan kama itakuepo sensodyne ilikua poa now wanaleta ya Kenya utoplo kabisa .hii imekaaje upande wa beiIyo apo ni dawa bora snaView attachment 1939616
Kwa huku bush kwangu sidhan kama itakuepo sensodyne ilikua poa now wanaleta ya Kenya utoplo kabisa .hii imekaaje upande wa bei
Nataman niipate ila kwa bush kwetu ,hebu nipigie picha dm vizur yenye hilo jina niisake nami pengine itapunguza kessy zangu za meno au hapa owa wasap 0717235641Nainunua kwa 15,000/= Mkuu
Miswaki ni mingi, mimi ninatumia colget na mingine haina jina ya kichinachina.Inauzwa kwenye maduka yanaitwa Litle more.Miswaki ya siku hizi haina ubora kiukweli.
Mi ni mtu nazingatia sana usafi wa kinywa ila naangushwa na miswaki ya siku hizi, Whitedent ndo ilikuaga miswaki yangu bora ila naona nao wameanza kuregeza.
Nataka mswaki ukipita kinywani jino na fizi viitikie.
Nyie mnatumia miswaki gani uko?