Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,703
- 39,776
leo nimeona tuzungumzie kuhusu hizi memory card. mtu anapotaka kununua memory card huulizia brand name tu ipi nzuri wengine watajibu sandisk wengine watajibu kingstone ila kila mtu atajibu lake. lakini tujiulize kitu kimoja kama laptop au simu tunachagua kwa perfomance na matumizi yetu je hizi memory card hazina specs kama vifaa vyengine?
jibu ni kwamba ndio memory card zina specs kama vifaa vyengine na ni vizuri kuchagua inayokidhi mahitaji yako. kuna wakati unaweza ukaona simu ipo slow au haichukui vizuri video pamoja na kucheza game tatizo hili linaweza kuchangiwa na memory card.
kwenye kuchagua memory card mambo mawili ni muhimu kuangalia.
1. ukubwa wa memory.
hapa nafkiri kila mtu anajua na wala nisipaelezee kirefu kila mtu anajua gb ngapi zinamtosha kuhifadhi mambo yake.
2. speed ya memory card.
hapa ndio dhumuni la hii thread watu wengi hawafahamu kuwa memory card zinatofautiana speed unaweza nunua memory card ikawa kimeo na kufanya kifaa kiwe slow.
memory card zimeekwa class kutokana na speed zake kuna class hizi hapa.
-class 2
-class 4
-class 6
-class 8
-class 10
zipo class za juu zaidi ila hizi zinatosha kumuelewesha mtu. class 2 inamaana speed yake ni 2MB/ps ikiwa class 6 ina maana 6MB/ps na class 10 ni 10MB/ps
hivyo ina maana jinsi inavyopanda ndio jinsi memory card inavyokua na speed.
tuchukulie mfano huu una simu inayorekodi hd utakapokua unachukua video za hd na memory card class 2 hio video haitatoka vizuri sababu video ni kubwa na speed ya kuandika memory card ni ndogo. same kwenye activities nyengine itakua slow.
je utatambuaje class ya memory card?
hii utaiangalia kwa juu kabisa ya memory card wanaandika class yake. ukiona hawajaandika ujue hio memory card ina walakin.
hitimisho
ni vizuri ukanunua memory card class 10 yenye brandname nzuri ili kupata perfomance nzur
jibu ni kwamba ndio memory card zina specs kama vifaa vyengine na ni vizuri kuchagua inayokidhi mahitaji yako. kuna wakati unaweza ukaona simu ipo slow au haichukui vizuri video pamoja na kucheza game tatizo hili linaweza kuchangiwa na memory card.
kwenye kuchagua memory card mambo mawili ni muhimu kuangalia.
1. ukubwa wa memory.
hapa nafkiri kila mtu anajua na wala nisipaelezee kirefu kila mtu anajua gb ngapi zinamtosha kuhifadhi mambo yake.
2. speed ya memory card.
hapa ndio dhumuni la hii thread watu wengi hawafahamu kuwa memory card zinatofautiana speed unaweza nunua memory card ikawa kimeo na kufanya kifaa kiwe slow.
memory card zimeekwa class kutokana na speed zake kuna class hizi hapa.
-class 2
-class 4
-class 6
-class 8
-class 10
zipo class za juu zaidi ila hizi zinatosha kumuelewesha mtu. class 2 inamaana speed yake ni 2MB/ps ikiwa class 6 ina maana 6MB/ps na class 10 ni 10MB/ps
hivyo ina maana jinsi inavyopanda ndio jinsi memory card inavyokua na speed.
tuchukulie mfano huu una simu inayorekodi hd utakapokua unachukua video za hd na memory card class 2 hio video haitatoka vizuri sababu video ni kubwa na speed ya kuandika memory card ni ndogo. same kwenye activities nyengine itakua slow.
je utatambuaje class ya memory card?
hii utaiangalia kwa juu kabisa ya memory card wanaandika class yake. ukiona hawajaandika ujue hio memory card ina walakin.
hitimisho
ni vizuri ukanunua memory card class 10 yenye brandname nzuri ili kupata perfomance nzur