Unatokwa na nywele? Una kipara? Jionee maajabu ya Aunt Zaynab's Natural Super Clay

Na mimi niliyepo tanga naipataje? Shida yangu ni nywele za mbele zinapungua na kuwa kipara,naomba kujua bei yake na jinsi inavyofanya kazi
Morogoro WhatsApp 0625249605.

Kwa maelezo zaidi ya jinsi ya kutumia ninaweza kukuelekeza kwani aijuwi hata kama Lina Morogoro anajuwa kuwa inasaidia pia haya matatizo ya nywele.

Kama hautopata kwa Lina Morogoro, basi wasiliana na mume wangu, Mzee Abdul 0756803528 atafanya njia ya kukutumia kwa mabasi yeye yupo Dar.
 
Mengine mengi yapi Bi Zainab hebu tugusie kidogo,vipi yule mwanao aliyekuwa na walaza sasa umepotea kabisa?
Kabisa, sema hayupo Tanzania kwa sasa na uko alipo alichukua kidogo amenambia nikipata mtu nimtumie aendeleze.
 
Na mimi niliyepo tanga naipataje? Shida yangu ni nywele za mbele zinapungua na kuwa kipara,naomba kujua bei yake na jinsi inavyofanya kazi
Piga 0769302206 Tanga tunakusafirishia kwa basi. Gharama za usafiri juu yako.
 
Nilijipakaga makopo matatu yakaisha bila mafanikio nikaachana nao. Tena uliniuzia mwenyewe bi zainab hapo kwako sinza.

Sent using Jamii Forums mobile app
Basi wewe haikukufaa. Ulinunua shillingi ngapi baba tukurudishie pesa zako.

Uliitumia kwa kipara? Dozi ya kipara ni mikebe 6 kwa kuanzia kwa kupaka kila siku ikiwezekana.

Nitumie namba na jina litalotoka nikurushie haki yako kwa kuwa tiba yetu haikukuridhisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom