Inapatikana wapi hiyo?KIBOKO YA UPARA NI
DOUBLE STEM CELL
pamoja na CRYSTAL CELL ni balaa hii product
Acha uongo kupga pcha kichwa tu tena sura unaihide kipi kinakushinda? Basi tupe ushahidi kutoka kwa mmja wa wateja wako aliyefanikiwa otherwise funga tu hii thread uache kuibia watu pesa zao.
Naomba nijitoe mhanga. Niwe wa demo.. Npe location unapopatikanaMwaka wa pili huu toka tuanzishe uzi huu na wengi sana kama wewe walirusha shutuma. Mpaka sasa hatuna malalamiko na udongo wetu umeanza kuuzwa mpaka nchi jirani na za mbali.
Tunakuomba tumia lugha ya kistaarabu. Tunakuomba pia njoo tukupige picha ya awali kama una kipara au tatizo lolote la ngozi, halafu tumia Aunt Zainab's Natural Super Clay kisha kila wiki tutakupiga picha na kuiweka humu. Yote hayo tutafanya kwa gharama zetu.
Haina haja ya kuandikia mate na wino upo. Namba zetu ni 0625249605.
Karibu sana.
Mpaka leo ushapewa hiyo "Location"?Naomba nijitoe mhanga. Niwe wa demo.. Npe location unapopatikana
Chenga tuuMpaka leo ushapewa hiyo "Location"?
Mbeya mnapatikana wap?Hakuna tatizo. Njoo uchukue.
Mara kibao nimeulizia "Feedback" sijapewa!!Hakuna feedback yeyote kuashiria hii dawa inayo ukweli wowote.anyway asante
Mara kibao nimeulizia "Feedback" sijapewa!!
Ni shida sana kupata majibu toka kwa huyo aliyesema ana dawa ya ualaza!!Yupo online?
Ni shida sana kupata majibu toka kwa huyo aliyesema ana dawa ya ualaza!!
Hata Alhamisi ya juzi alikuwepo hapa!!Yupo online?
Hata Alhamisi ya juzi alikuwepo hapa!!
Tupo Misugusugu Kibaha.Naomba nijitoe mhanga. Niwe wa demo.. Npe location unapopatikana
Piga 0769302206Ni shida sana kupata majibu toka kwa huyo aliyesema ana dawa ya ualaza!!
Nipo mama, siku izi nipo shamba Kibaha.Yupo online?
Ni nzuri sana ijaribu kaka.Mara kibao nimeulizia "Feedback" sijapewa!!