Unatokwa na nywele? Una kipara? Jionee maajabu ya Aunt Zaynab's Natural Super Clay

Zainab Tamim

JF-Expert Member
Jan 15, 2015
1,293
578
Aunt Zainab's Natural Super Clay, sasa imeonesha matumaini makubwa kwa wale wenye vipara na wale wenye matatizo ya kung'oka nywele, nywele zisizo na afya, nywele zinazokatika katika, nywele zinazong'oka kwa kutumia madawa ya nywele yenye kemikali kali, nywele zinazong'ka kwa kuvaa sana mawigi, nywele zinazong'oka baada ya kusukia nywele za bandia kwa muda mrefu.

Nimemjaribu mwanangu mwenyewe ambae alikuwa na kipara kinachokuja kwa kasi, na haya ni matokeo baada ya kutumia Aunt Zainab's Natural Super Clay kwa wiki nne tu, jionee mwenyewe:

Before

Thabit before 1.jpg rsz_thabit_after_1 txt.jpg

 

Attachments

  • rsz_thabit_after_1.jpg
    rsz_thabit_after_1.jpg
    27.2 KB · Views: 4,254
Acha kuongopea. Hizo picha mbili ni za watu wawili tofauti kabisa wajuu ana asili ya kiarabu na ni mzee flani ivi wachini bado young.. Hata kipofu hashindwi kugundua hilo.. Tupe evidence nyingine utuconvice.. ;)
 
Acha kuongopea. Hizo picha mbili ni za watu wawili tofauti kabisa wajuu ana asili ya kiarabu na ni mzee flani ivi wachini bado young.. Hata kipofu hashindwi kugundua hilo.. Tupe evidence nyingine utuconvice.. ;)

Huyo ni mtu mmoja sina sababu ya kukuongopea hata kidogo na ni mwanangu mwenyewe.

Ni mtu mmoja picha zilipigwa sehemu tofauti na wakati tofauti ndiyo maana unaona different ya rangi.

Mie unanionaje kwenye avatar nina asili ipi?

Hayo ndio maajabu yenyewe, utafikiri watu wawili tofauti lakini ni mmoja tu, umemuona mzee kwa kuwa ana kipara na sasa kaota nywele anaonekana kijana zaidi. Na hiyo ndugu yangu ni baada ya wiki nne tu ya kutumia Aunt Zainab's Natural Super Clay.

Ukipenda karibu nyumbani umuone mwenyewe. hakuna cha kuficha hapa.
 
Nitaipataje sasa iyo dawa na mm nipo morogoro

Morogoro WhatsApp 0625249605.

Kwa maelezo zaidi ya jinsi ya kutumia ninaweza kukuelekeza kwani aijuwi hata kama Lina Morogoro anajuwa kuwa inasaidia pia haya matatizo ya nywele.

Kama hautopata kwa Lina Morogoro, basi wasiliana na mume wangu, Mzee Abdul 0756803528 atafanya njia ya kukutumia kwa mabasi yeye yupo Dar.
 
Huyo ni mtu mmoja sina sababu ya kukuongopea hata kidogo na ni mwanangu mwenyewe.

Ni mtu mmoja picha zilipigwa sehemu tofauti na wakati tofauti ndiyo maana unaona different ya rangi.

Mie unanionaje kwenye avatar nina asili ipi?

Hayo ndio maajabu yenyewe, utafikiri watu wawili tofauti lakini ni mmoja tu, umemuona mzee kwa kuwa ana kipara na sasa kaota nywele anaonekana kijana zaidi. Na hiyo ndugu yangu ni baada ya wiki nne tu ya kutumia Aunt Zainab's Natural Super Clay.

Ukipenda karibu nyumbani umuone mwenyewe. hakuna cha kuficha hapa.

Sawa mama ntakuja.. Kazi njema!
 
Dar es Salaam

Dar Home Delivery: Mzee Abdul = 0756803528

Ilala / Kariakoo = Raymond Mushi - 0713422069 na Joyce Mchagga - 0719024967.Pemba Street House No 12 Karibu na Msimbazi Police.

Ilala kwa Masai Kimako = Mwanahamisi Saloon 0718775220

Kijitonyama - Vivian Mshomi - Stendi ya Makumbusho - 0757176678 / 078476678 / 071576678 / 0776154933

Kimara - Mbezi - Ubungo = Jack- 0714893685

Jack yupo Kimara Rombo lakini amejitolea kufanya delivery mpaka Mbezi Mwisho na Ubungo.

Sinza = Aunt Zainab - 0769302206

Zanzibar (Unguja)

Dr. S. Shafi 0754650480

Arusha

Mama Aida -0754445733

Dodoma

Rukia - 0653249898


Lindi

Nuru - 0717461575

Mbeya

Haule - 0756994850 na 0784658349

Mwanza

Mama Alex / Bonge 0768545736 na 0765072213

Morogoro

Lina Mafwere - 0754297319 Boma Road.

Tanga

Farouq - 0719190000

Songea?
 
Arusha vp napataje na vp inatibu makovu Ya acne

Arusha ipo inapatikana kwa Mama Aida -0754445733.

Inatibu makovu ya acne. Haina muda kamili wa kuyamaliza makovu yote inategemea ukubwa na wingi wa makovu lakini unaanza kuona results baada ya siku tatu tu, tumia mfululizo mpka yaishe yote. Haina madhara yoyote kwa matumizi ya muda mrefu.
 
Jana usiku nimefurahishwa sana na comment ya ManMoker hapo juu.

Mwanangu nimemuonesha post ya ManMoker kafurahi sana. Anasema sasa hata yeye anaamini kuwa kweli nywele zinaota kwa kasi mpaka watu hawaamini kuwa huyo ni yeye na sio watu tofauti.

Amecheka sana pale aliposoma kuwa hiyo picha ya kwanza ni ya mzee na ya pili ni ya kijana.

Ninawahakikishia huyo ni mtu mmoja, kabla na baada ya kutumia Aunt Zainab's Natural Super Clay kwa muda mfupi sana.


Ninamtumia ManMoker kwa pm picha kamili zinazoonyesha sura ya mwanangu kabla na baada ili amuone vizuri kwa kumuhakikishia tu kuwa huyo mtu mmoja.
 
Last edited by a moderator:
Kama ni kweli sawa, ila nadhani watu wenye vipara tunaongoza kwa kutapeliwa

Nipo tayari kukupa utumie bure bila kulipia senti tano, mpaka utakapohakikisha kuwa kuna mabadiliko na mafanikio baada ya kutumia Aunt Zainab's Natural Super Clay ndio utalipia.

Kama haijakusaidia na haujaona mabadiliko unarudishiwa pesa yako bila masharti.

Hii ni bidhaa pekee ambayo nipo tayari kukupa utumie bure kwa tatizo lako lolote la ngozi, utalipia baada ya mafanikio tu.

Kwa wale wataotaka watumie bure bila kulipia, wahakikishe wanakuja kwangu na wanitumia hii dawa hapa hapa kwangu ili nihakikishe kweli wanaitumia ipasavyo.

Na wale wasio na uwezo wa kumudu kuinunua ni bure na waje kwangu Sinza kuchukuwa wakati wowote wala wasisite hata kidogo.

Karibuni.
 
Nipo tayari kukupa utumie bure bila kulipia senti tano, mpaka utakapohakikisha kuwa kuna mabadiliko baa ya kutumiaAunt Zainab's Natural Super Clay ndio utalipa.

Kama haijakusaidia na haujaona mabadiliko, usilipie.

Hii ni bidhaa pekee ambayo nipo tayari kukupa utumie bure kwa tatizo lako lolote la ngozi, ualipia baada ya matokeo tu.

Utaweka deposit na kama hujafanikiwa ninaku refund pesa yako kamili na ya nauli juu.

Na wale wasio na uwezo wa kumudu kuinunua ni bure na waje kwangu Sinza kuchukuwa wakati wowote wala wasisite hata kidogo.

Nina Kipara na nimeshatumia bidhaa nyingi lkn wapi, bila shaka we ni muislam na ni ijumaa leo ndani ya mwezi mtukufu, unauhakika na hichi ulichoweka hapa, watu tumeshatapeliwa sana na vipara vyetu vikageuzwa mitaji aisee
 
Mkuu kuhusu picha hata mm nina mashaka,ile ya juu ana ndevu zinaonekana kabisa!masikio pia ni tofauti,hebu weka evidence nyingine nikuletee wateja 10 fasta
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom