Zainab Tamim
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 1,293
- 578
- Thread starter
- #641
Bei yake kwetu ni 3,500 kwa mkebe.Bei yake ? Na kwa Shinyanga tunaipataje ?
Shinyanga inabidi uagize tukutumie kwa basi kwa gharama zako.
Bei yake kwetu ni 3,500 kwa mkebe.Bei yake ? Na kwa Shinyanga tunaipataje ?
Mbeya/iringa tunapataje?Arusha ipo inapatikana kwa Mama Aida -0754445733.
Inatibu makovu ya acne. Haina muda kamili wa kuyamaliza makovu yote inategemea ukubwa na wingi wa makovu lakini unaanza kuona results baada ya siku tatu tu, tumia mfululizo mpka yaishe yote. Haina madhara yoyote kwa matumizi ya muda mrefu.
Morogoro upo, piga simu: +255 713 039 875nipo moro nitapataje?
Mkebe una nin ndani inabidi utueleweshe!!
Morogoro upo, piga simu: +255 713 039 875
Piga au tuma ujumbe +255 713 039 875 au 0769302206Nipo korogwe tanga naupataje
Sijakuelewa.
Bahati mbaya sana mkewe kakataa kasema hata picha tulizoweka tuziondoe.pengine ungetuwekea picha nyingine ya mwanao tuone Kipara kinaendeleaje. kwasasabu kama mmefanikisha ni tumaini leta kwa sasa kipara kitakuwa kimemuisha kabisa
Acha uongo kupga pcha kichwa tu tena sura unaihide kipi kinakushinda? Basi tupe ushahidi kutoka kwa mmja wa wateja wako aliyefanikiwa otherwise funga tu hii thread uache kuibia watu pesa zao.Bahati mbaya sana mkewe kakataa kasema hata picha tulizoweka tuziondoe.
Abiria chunga mzigo wako.