Sijakataza mimi mtu kutumia kiungo chake alichopewa bure,au umeona katazo hapo?Wacha watu watumie viungo vyao effectively! Starehe ya mtu masikini ni ngono, hatuna pesa za kutalii, kwenda hoteli nzuri, kula vizuri...hata ngono jamani!!
Najua hujakataza, natoa angalizo tu mkuu, au umenuna?Sijakataza mimi mtu kutumia kiungo chake alichopewa bure,au umeona katazo hapo?
Sina Sababu za kununa hata moja.Najua hujakataza, natoa angalizo tu mkuu, au umenuna?
Basi mkuu tusubirie hiyo 14th ili kila mtu afurahie kwa namna yake.Sina Sababu za kununa hata moja.
Ndio mudaIsifungwe,ifungwe trh 15 saa nne kamili asubuhi
Sawa sawa,ndio tutafunga Uzi.😂😂Ndio muda
Wa kuachia room
Loji
Wapendwa nawasalimu kwa bashasha kabisa msimu huu wa valentine. Bila kupoteza wasaa kama kichwa cha habari kinavyosomeka ni nani unatarajia kutoka naye na kutumia muda wenu pamoja siku ya kilele cha msimu huu wa wapendano yaani tarehe 14/2?
Binafsi kama mambo yataenda kama nilivyopanga nimeamua kuitumia siku hii kwa kutoka peke yangu na kukaa sehemu iliyotulia kwa ajili ya kutafakari mambo yangu binafsi ya muhimu huku nikipata kinywaji laini na chakula cha mchana na usiku.
Na itakuwa maeneo ya Beach...(ndio huwa napenda sana maeneo haya).
Niwatakie heri ya siku hii ya wapendanao in advance....(japo najua kwa wenye kupendana kila siku ni valentine...lakini ili kuipa heshima zaidi lazima kilele kiwepo).
Nipo rafiki..@Mshana Jr kumbe na huku umoo
Karibuu
mama ako atatoka na baba ako sio weweKwa hyo hata ukitoka na mamako mzazi utembee na ndom??