Unatambua kwanini mwanamke aliesalitiwa anasamehe na mwanaume dont?

mwekundu

JF-Expert Member
Mar 4, 2013
21,859
19,700
Inasemekana katika hali ya kawaida "mwanamke hawezi kutofautisha sex (ngono) na love (penzi)"

Hii maana yake atakotoa sex(anakochepuka) ndo huko huko alikopenda(kuna love)!! Possibility ni kubwa mno.....over 95%

Inasemekana hii ndio sababu kubwa mwanaume mwenye grade ya juu kabisa katika malavidavi akimstukia mke wake wa ndoa amemsaliti au hata girlfriend ana mchepuko hatomsamehe kamwe na technically ndio unakua mwisho wa mahusiano husika

Na kwa style ya ajabu kabisa(paradoxically ) mwanaume anayesaliti nje ya ndoa ana zaidi ya 90% ni "TAMAA" peke yake na sio "LOVE"

Kwa kulitambua hili ndio maana mnamsamehe mwanaume aliyecheat? tofauti kabisa na wanaume jinsi inavyomchoma na kumuunguza rohoni na muda mwingine unakua mwanzo wakuharibika maisha yake?

Huku kwetu uswahili wanawake wa ndoa akistukia mume wake anatoka na mchepuko utasikia "mwache tu baba andunje atazunguka huko kote hapa ndo amefika". Wapo wanaume wenye ujasiri wakuzungumza hivi?

Kwakua hapa ni jukwaa pendwa naomba tujadili
 
Sex leave marks on women than it does on men, physically and emotionally. Some marks stick around forever. As a man, I wouldn't be comfortable having my old lady carrying some other mofo's unnecessary baggage with her, to remind me of the disrespek. That's my angle.
 
Kwa asilimia kubwa ya wanaume yale ni maeneo yake ya kujidai ambayo mwanaume mwingine yoyote hana ruhusa ya kuingia. Na inapotokea mwanaume mwingine kapita basi hakuna cha msalie mtume ni mahusiano au ndoa kufa japo wako asilimia ndogo sana ya wanaume ambao labda wanaweza kusamehe. Inawezekana pia wanaume tulio wengi hatuwezi kusamehe kitu kama hicho kinapotokea ukilinganisha na wanawake pamoja na baadhi kuwa na moyo wa kusamehe lakini si kusamehe hili tendo la njemba nyingine kujidai kwenye utamu.

Wanawake tuna moyo wa kusamehe sanaa! Ila mwanaume akisalitiwa jamani yaani dunia nzima inaweza jua jinsi wanavyoumia na ndiyo wanavunja mahusiano papo hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom