mohana
New Member
- Nov 7, 2021
- 3
- 14
Karibu Sana wewe ambae unatamani kuoa na umekosa kabisa mwanamke binafsi najijua ni mke ambae ni mama
.
Naomba niweke vigezo vya mwanaume ambae nitaweza kumvumilia kwa chochote kitakachotokea mbele yetu
1)awe napenda Sana tendo la ndoa uume wake uwe wa haja ,si mbaya ata akiwa na upungufu tu aweza kusaidiaa kurekebisha ukawa sawa Cha msingi awe nao tu ulio Shiba na awe na mapenzi na tendo la ndoa
2) awe mweupe jamani huu ugonjwa wangu au maji ya kunde uwa napenda Sana hawa viumbe
3) asiwe mrefu Sana ,Wala mfupi awe kati awe na mwili wa kibaba haswa sitaki kuonewa kwenye vikao
4)Awe na Kazi zisizo pungua 4 sio anae tegemea mchongo mmoja tu ukifel anaanza kulia Lia
5) dini yoyote
6)awe anajua kuongea sauti ya kiume sio mtu anaongea kama tupo Kambini
7) mengine tutaambiana mbele ya safari huko
8)umri 31-38
Karibu PM
.
Naomba niweke vigezo vya mwanaume ambae nitaweza kumvumilia kwa chochote kitakachotokea mbele yetu
1)awe napenda Sana tendo la ndoa uume wake uwe wa haja ,si mbaya ata akiwa na upungufu tu aweza kusaidiaa kurekebisha ukawa sawa Cha msingi awe nao tu ulio Shiba na awe na mapenzi na tendo la ndoa
2) awe mweupe jamani huu ugonjwa wangu au maji ya kunde uwa napenda Sana hawa viumbe
3) asiwe mrefu Sana ,Wala mfupi awe kati awe na mwili wa kibaba haswa sitaki kuonewa kwenye vikao
4)Awe na Kazi zisizo pungua 4 sio anae tegemea mchongo mmoja tu ukifel anaanza kulia Lia
5) dini yoyote
6)awe anajua kuongea sauti ya kiume sio mtu anaongea kama tupo Kambini
7) mengine tutaambiana mbele ya safari huko
8)umri 31-38
Karibu PM