Malume
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 1,017
- 1,885
muhimu kunikumbushaNimeona nikukumbushe usikute nadate mwenyewe tu....
muhimu kunikumbushaNimeona nikukumbushe usikute nadate mwenyewe tu....
Niambie tu huwa upo wapi siku nikizungukia mitaa hiyo nikutafte. And if possible njoo pm
Dah! Sijamuona mkuu nifanyie wepesi tafadhali.She is beautful with brain, nineona ile picha ya kwenye ule uzi wa mshindi wa shindano la uandishi, kiukweli she is sooo beautful, anafanana na avatar yake, very smart with ambitions, ameni inspire sana
Lindo la kivipi yani..Nilikuwa lindo
NaniHuyu nikikutana nae namzingua..
Alaaa, nikajua nimequote kumbe nimepiga plain.., Yule jamani yule, alienaniriu yule..Nani
Hatujui mawifi zake vizuriKwakweli andiko linamuhusu
Tulivo na gubu😂😂Hatujui mawifi zake vizuri
Atajua hajuiTulivo na gubu
Such an honour, thanks Mkuu 🙏🏽
HahahaNilienda makaburini jana sijakuona
Abriana, Heaven sent,
nimetoka nipo mkoaNilienda makaburini jana sijakuona
Asante Joshy🙏Abriana, Heaven sent,
AmenTuombe uzima Joshy