😂😂 usiende🤣🤣🤣 yaani weweee
Mimi nawish nikutane na wewee😘
Basi siendi tena dada😂😂😂😂 usiende
Hilo halina maulizo 😍😍
Watakuwa vichaa hao. Yani niache kutongoza mademu wazuri ninaowajua live nianze kuhangaika na misukule ya humu ambayo hujui kebin zao zimekaeje kaeje!!! that is a complit madness!Uko sahihi mkuu Sema wapo wenzio wanahangaika na sisi huwez amini.
fikiria mkuu😁😁😁😁Ngoja nifikirie!!
Ngoja nifikirie!!
😂😂😂😂😂😂😂Watakuwa vichaa hao. Yani niache kutongoza mademu wazuri ninaowajua live nianze kuhangaika na misukule ya humu ambayo hujui kebin zao zimekaeje kaeje!!! that is a complit madness!
Sky Eclat
Shukrani mkuu kikubwa tuombe uhai tu tutaonana barikiwa.
Na siachi kwa maneno yako
Nakujua dada ukipendaAnizingue anaanzia wapi kwa mfano? Sio hata yeye halafu. Niko na kaka ake Heaven Sent ananipeleka resi acha tu rafiki yangu. Uje tu nikusimulie yanayonisibu.
Mpaka nimepungua kilo.
Huu uzee huu ofa ipi hiyo tena
Niko hapa@Shunie mfanyie jambo ndugu yangu.
Hahhahah mama mchungaji na tuseme Ameen.Nakusalimu sana mama Muinjili, uendelee kudumu katika pendo la Bwana
Amen thank you so so much lovely sister. Dada mpole dada mwenye ustaarabu wake.Amen.. Amen..Baby Sis.. Naelewa mambo ni mengi.. But..All the Best Babe.Dada is proud of you..
Karibu Mdogo wangu.. Uje tuone namna huu mwaka unaweza kuisha.. Kama Mungu atatufikisha huko..
Wishing you all the Best..
Nakupenda. Nakuombea. Nakubariki.
Wanakuja😃😃😃😃