Digging deeper
JF-Expert Member
- Jul 15, 2020
- 787
- 510
- Thread starter
- #461
watu wa mbeya mmebalikiwa😊😊😊😊
watu wa mbeya mmebalikiwa😊😊😊😊
Imekuaje umeachika tena na wewe?? . Havichekeshi ila nimekucheka. Pole mwaya ndo life lakini mi mwenyewe nimejuachisha niko singonimeachwa tena ndugu yangu.
Nicheck WhatsApp niko nje ya nchi kiduchu
. Msinifanyie hivyo wifi zangu
watu wa mbeya mmebalikiwa
We acha tu nyie wadada mba mambo; yaani hamjui nini mnataka. Nitakupa story nikija; nataka ni ku surprise huko ZenjiImekuaje umeachika tena na wewe?? . Havichekeshi ila nimekucheka. Pole mwaya ndo life lakini mi mwenyewe nimejuachisha niko singo
Dooh yaani nimetoa tabasamu nene mno hadi mdomo umegoma kurudi kawaida. Naelewa dearest sis na hata wewe wajua vile nakupendaga bure na ninavyokumissigi.Niseme nini kwa habari yako Babe?
Najua unajua namna huu moyo upo kwako..
Na nilivyokumiss.. Unajua ninavyokulalamikia kila iitwapo leo...
Ombi langu: Mwisho wa mwaka huu naomba ufanye namna...
Kama nimewaza gubu la kaka zenu nyie nitawamudu tu.Na si inajua mawifi zako tulivyo na gubu?
Kuendesha manual car naanzia wapi lakini? Fanya uje kisiwani tulewe zetu tusahau mapenzi kwa mudaWe acha tu nyie wadada mba mambo; yaani hamjui nini mnataka. Nitakupa story nikija; nataka ni ku surprise huko Zenji
Hivi unajua kuendesha manual car?
Nakuja soon, nikupeleke 5* moja hivi matata. Alafu nikupe koneksheni za kisiwani.Kuendesha manual car naanzia wapi lakini? Fanya uje kisiwani tulewe zetu tusahau mapenzi kwa muda
Nimekucheck WhatsAppNakuja soon, nikupeleke 5* moja hivi matata. Alafu nikupe koneksheni za kisiwani.
Jifunze manual, kuna kitu inaozea garage hapo kisiwani na mpango wa kuivisha sina. Inatakiwa uipashe pashe
Ila mimi mapenzi hayanipi shida ma'am Mkenya wangu nishamzoea atarudi tu
Kwahiyo jamaa kakuzingua baada ya kwenda Zenji ama? Yule jamaa ana wivu , mbaya; nilikuwa namchora tu siku ileKuendesha manual car naanzia wapi lakini? Fanya uje kisiwani tulewe zetu tusahau mapenzi kwa muda
kila kitu😊😊😊😊😊ni meisha sana mbeyaTumebarikiwa nini jamani?
Kama nimewaza gubu la kaka zenu nyie nitawamudu tu.
kila kituni meisha sana mbeya
eh matoki kama yote,michele ndo usisemeVyakula vingi eeh?
Anizingue anaanzia wapi kwa mfano? Sio hata yeye halafu. Niko na kaka ake Heaven Sent ananipeleka resi acha tu rafiki yangu. Uje tu nikusimulie yanayonisibu.Kwahiyo jamaa kakuzingua baada ya kwenda Zenji ama? Yule jamaa ana wivu , mbaya; nilikuwa namchora tu siku ile
Wana gubu kaka zenu . Wanajua kupenda na sio wachoyo Sema kununa sekundeKaka zetu hawana gubu bana, kazi ipo kwetu
We Heaven Sent mkanye kaka yako tafadhali hatuchelewi kwenda kuwapa ndugu zetu wa visiwani connectionAnizingue anaanzia wapi kwa mfano? Sio hata yeye halafu. Niko na kaka ake Heaven Sent ananipeleka resi acha tu rafiki yangu. Uje tu nikusimulie yanayonisibu.
Mpaka nimepungua kilo.
We Heaven Sent mkanye kaka yako tafadhali hatuchelewi kwenda kuwapa ndugu zetu wa visiwani connection