Muarubaini
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 222
- 48
Mi li haria nimelipania kwelikweli
Ka-nissan march kanantoa jasho hapa!ila mwezi wa nane katikati mtapishana nako njiani,niombeeni jamani,naahidi kuwa mtiifu mbele ya ma V8 na ma vogue yenu.
Gari lenye tairi 4.
Mercedes, macho ya panzi
Xtrail ndo nawaza kuanzia
Magar mnayoyataka yasiwe makuukuu,,,KODI SI MMEZISIKIA????
Magar mnayoyataka yasiwe makuukuu,,,KODI SI MMEZISIKIA????
nipe taarifa kodi imekuwaje tena?
me nakataman ka-vitz, Mungu akipenda ntakanunua october!
Bajaj...