nimekupat sana kiongozi well said!Yaani
Kaswende
Kisonono
Ukimwi
Mizinga
Mimba zizotarajiwa
Kusingiziwa mimba
Kukamatwa ugoni( coz hawasemi kawa wameolewa) Kuna mawili
1 faini
2 kuuwana
Kama mahusiano hayafika ndoa basic juu hayo juu hayakwepiki. Yakikataa sio case
Jioni njema
poapoa kaka kuforce akupende pia ni jauMaana yake umemtongoza kwa texts au simu. Kwenye simu ulitakiwa umsifie tu(sio hovyo hovyo), na kuonesha interest ya kuwa nae. Baada ya hapo unaomba kumtoa out.
Lakini jibu alilokupa kama ningekua mimi ningemuuliza type yake wakoje? Kifuatacho ningempotezea.
Mwanamke akikwambia wewe sio type yake achana nae hata kama unampenda vipi.
Hata muda wa kutuma sms sina, ni vitendo zaidiuna care vp broo muda wote sim au hivo mm sas siwezi
Acha nae huyo anataka kukuchezea tu.
dah mtoto ana madini huyu nikaribishe PM basi
Ni utani tu. Have a good night.Eeh yamekua hayo tena mkuu.
Ni utani tu. Have a good night.
sawa MkuuJitoe kwenye friendzone, ukiona tu mwanamke anaanza kukuweka kama rafiki alafu wewe unampenda jitoe haraka bila hivyo unakosa mali hiyo
Eeehh wanatest mitambo kwanza kuona kama uko fiti ama legelegeausio
Baada ya kumpa helaHabarini Ladies & Gents nije kwenye mada moja kwa moja eti wadau unatakiwa uchukue muda gani kuanza kumtongoza mtoto wa kike baada ya kukupa namba?
Naona kama nimeharibu kaniambia mimi sio type yake, nitakuwa nimekosea wapi?