BIn khalifa
JF-Expert Member
- Nov 25, 2019
- 216
- 198
Mkuu kashasema kama wew sio type yake so hapo hamna ulipokosea…
Mademu wengine hata kumpa out na dinner wanakataa .. wanasema wako busy na visingizio kibao.Ila wanaume wengine acha mpigwe na vitu vizito kichwani
Kutongozana sa hivi amna unaacha the nature isuggest yenywe
Unadhani angeanza kwa outings za kutosha plus vizawadi na care kama zote angekataliwa?
Neverrr
Mimi mademu wengi wanakataa out.Outing hawezi kataa amna demu asiyependa chips
Demu akishaanza style za kujifanya yuko busy ujue amesha loose interest na wewe hapo hakupendi tena au kuna mwamba anampa attention😅 kwa sasa.Mimi mademu wengi wanakataa out.
Wanasema wako busy
Mademu wengine hata kumpa out na dinner wanakataa .. wanasema wako busy na visingizio kibao.
Hilo unasemaje
Ok ndo maana mie huwa napita mbele....Demu akishaanza style za kujifanya yuko busy ujue amesha loose interest na wewe hapo kuna mwamba au kuna mwamba anampa attention
Demu akishaanza style za kujifanya yuko busy ujue amesha loose interest na wewe hapo kuna mwamba au kuna mwamba anampa attention
Ok ndo maana mie huwa napita mbele....
Sema Nini nitakuja kuwa womanizer one day
..
Mimi sitoi zawadi wala sina muda na outings ila Care tu ndo inayonibeba siku zoteIla wanaume wengine acha mpigwe na vitu vizito kichwani
Kutongozana sa hivi amna unaacha the nature isuggest yenywe
Unadhani angeanza kwa outings za kutosha plus vizawadi na care kama zote angekataliwa?
Neverrr
Wandewa tunaelewa mbona haya mambo😅 yani mie demu hawezi nipa shida kabisa now! Huwa sitakagi drama kabisaHhaha alafu ni ukweli mkuu
Mimi sitoi zawadi wala sina muda na outings ila Care tu ndo inayonibeba siku zote
Ndo hivyo Mkuu.Wanawake ni binti zetu tu hao Kwanini watusumbue akili.naona umeamua kunipa na mistari
AsanteHapo kupambana ataenda kuliwa hela zake tu hasara iwe mara 2! Demu akishakukataa on the first impression jua ni ngumu hata ukifosi utatumia sana hela
Jitoe kwenye friendzone, ukiona tu mwanamke anaanza kukuweka kama rafiki alafu wewe unampenda jitoe haraka bila hivyo unakosa mali hiyoje vipi kama nimemfanyia yote hayo ila akaishia kunipenda sana kama rafiki yani hamalizi siku bila kunitafuta lakini mengine akatae
hata kumtia moyo noo😂🙌Hujakosea popote wewe sio type yake
Acha nae huyo anataka kukuchezea tu.Sasa mbona kuna mtu ana malengo na mimi tayar mkuu?
dah mtoto ana madini huyu nikaribishe PM basiInategemea na jinsi ulivyoanza nae mwanzo wa mawasiliano yenu
Unakuta umeanza na swaga za karibu nyumban kwangu sijui getto afu akakataa
Huyo lazma ukimwambia twende outing for dinner lazma akatae pia
Though sio wote