Mongasa
Member
- Jul 3, 2019
- 74
- 73
Ni rahisi Sana kua tajiri ukiwekeza hapa nchini, yafuatayo yatakusaidia;
1. Lipa kodi ya Serikali
2. Sapoti Chama
4. Changia michango ie Mwenge
5. Jenga urafiki na viongozi kwa kulipia baadhi ya mambo yao
Hayo hapo juu yatakusaidia yafuatayo:
1. Hutosumbuliwa usipolipa mishahara ya wafanyakazi
2. Utanyanyasa wafanyakazi hadi wewe ndo uwaonee huruma
3. Itafika sehemu kodi kwako itakua exempted
Kwahayo na mengineyo KWANINI usiwekeze TANZANIA
1. Lipa kodi ya Serikali
2. Sapoti Chama
4. Changia michango ie Mwenge
5. Jenga urafiki na viongozi kwa kulipia baadhi ya mambo yao
Hayo hapo juu yatakusaidia yafuatayo:
1. Hutosumbuliwa usipolipa mishahara ya wafanyakazi
2. Utanyanyasa wafanyakazi hadi wewe ndo uwaonee huruma
3. Itafika sehemu kodi kwako itakua exempted
Kwahayo na mengineyo KWANINI usiwekeze TANZANIA