Unataka kuwa mtu mwenye uelewa (knowledge) mkubwa? Zingatia tabia hizi 10

Miss Zomboko

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,495
9,275
Kila mtu anaweza kuwa na uelewa (knowledge) mkubwa, na sio lazima awe msomi wa kiwango cha juu. Kuzingatia tabia hizi 10 kunaweza kumfanya mtu yeyote kuwa mwenye uelewa mkubwa

1. ‎Kusoma kila nafasi inaporuhusu - iwe ni gazeti, vitabu au yaliyomo mtandaoni. Epuka kusoma "vitu visivyo na maana" na badala yake zingatia vitu vya kukuelimisha, kukuhabarisha au hata kukuburudisha. Usipitishe siku bila kusoma kitu cha maana.

2. ‎ Kiu ya kufahamu kuhusu watu. Si kufahamu kwa minajili ya umbeya bali kwa mfano "flani aliwezaje kufikia mafanikio aliyonayo?"

3. Kufundisha watu wengine. Kadri unavyofundisha watu wengine ndivyo kadri unavyojiimarisha katika mada unayofundisha.

4. ‎Kushiriki mijadala ya maana

5. ‎Kufanya chemshabongo (zipo nyingi tu mtandaoni) lakini pia waweza kufanya na mtu mwingine, anakuuliza maswali/mafumbo

6. ‎Kuangalia vipindi vya runinga vinavyoeleza matukio/vitu muhimu vilivyoifikisha dunia ilipo leo

7. ‎Kutengeneza mtandao wa marafiki wenye ujuzi/utaalam katika mambo mbalimbali (networking)

8. ‎Kujifunza kuhusu vitu vya kumfanya mtu kuwa bora zaidi (self-development)

9. ‎Kutobweteka na uelewa uliopo kichwani hata kama ni mwingi. Uelewa ni chakula cha ubongo. Hakikisha huunyimi ubongo wako mlo wake

10. ‎Kujiamini.



Evarist Chalali Istagram
 
Yes! nimeikubali But zomboko wewe mbona huchangiagi?,

yaani wewe ni mtoa thread tuuu, vijana wangu hapa kijiwni wanakuita M.T.T! eti ni kweli?
 
Naongeza hili kua msikizaji saana ongea kidogo upate kujua mengi
Kila mtu anaweza kuwa na uelewa (knowledge) mkubwa, na sio lazima awe msomi wa kiwango cha juu. Kuzingatia tabia hizi 10 kunaweza kumfanya mtu yeyote kuwa mwenye uelewa mkubwa

1. ‎Kusoma kila nafasi inaporuhusu - iwe ni gazeti, vitabu au yaliyomo mtandaoni. Epuka kusoma "vitu visivyo na maana" na badala yake zingatia vitu vya kukuelimisha, kukuhabarisha au hata kukuburudisha. Usipitishe siku bila kusoma kitu cha maana.

2. ‎ Kiu ya kufahamu kuhusu watu. Si kufahamu kwa minajili ya umbeya bali kwa mfano "flani aliwezaje kufikia mafanikio aliyonayo?"

3. Kufundisha watu wengine. Kadri unavyofundisha watu wengine ndivyo kadri unavyojiimarisha katika mada unayofundisha.

4. ‎Kushiriki mijadala ya maana

5. ‎Kufanya chemshabongo (zipo nyingi tu mtandaoni) lakini pia waweza kufanya na mtu mwingine, anakuuliza maswali/mafumbo

6. ‎Kuangalia vipindi vya runinga vinavyoeleza matukio/vitu muhimu vilivyoifikisha dunia ilipo leo

7. ‎Kutengeneza mtandao wa marafiki wenye ujuzi/utaalam katika mambo mbalimbali (networking)

8. ‎Kujifunza kuhusu vitu vya kumfanya mtu kuwa bora zaidi (self-development)

9. ‎Kutobweteka na uelewa uliopo kichwani hata kama ni mwingi. Uelewa ni chakula cha ubongo. Hakikisha huunyimi ubongo wako mlo wake

10. ‎Kujiamini.



Evarist Chalali Istagram

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila mtu anaweza kuwa na uelewa (knowledge) mkubwa, na sio lazima awe msomi wa kiwango cha juu. Kuzingatia tabia hizi 10 kunaweza kumfanya mtu yeyote kuwa mwenye uelewa mkubwa

1. ‎Kusoma kila nafasi inaporuhusu - iwe ni gazeti, vitabu au yaliyomo mtandaoni. Epuka kusoma "vitu visivyo na maana" na badala yake zingatia vitu vya kukuelimisha, kukuhabarisha au hata kukuburudisha. Usipitishe siku bila kusoma kitu cha maana.

2. ‎ Kiu ya kufahamu kuhusu watu. Si kufahamu kwa minajili ya umbeya bali kwa mfano "flani aliwezaje kufikia mafanikio aliyonayo?"

3. Kufundisha watu wengine. Kadri unavyofundisha watu wengine ndivyo kadri unavyojiimarisha katika mada unayofundisha.

4. ‎Kushiriki mijadala ya maana

5. ‎Kufanya chemshabongo (zipo nyingi tu mtandaoni) lakini pia waweza kufanya na mtu mwingine, anakuuliza maswali/mafumbo

6. ‎Kuangalia vipindi vya runinga vinavyoeleza matukio/vitu muhimu vilivyoifikisha dunia ilipo leo

7. ‎Kutengeneza mtandao wa marafiki wenye ujuzi/utaalam katika mambo mbalimbali (networking)

8. ‎Kujifunza kuhusu vitu vya kumfanya mtu kuwa bora zaidi (self-development)

9. ‎Kutobweteka na uelewa uliopo kichwani hata kama ni mwingi. Uelewa ni chakula cha ubongo. Hakikisha huunyimi ubongo wako mlo wake

10. ‎Kujiamini.



Evarist Chalali Istagram
Nimeipenda hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom