Unataka kupata kazi mara moja? Bila kukataliwa na mtu au kampuni yoyote? Usitume au kuomba kazi. Njia rahisi ni hii

Ahsante sana mkuu naona umejikita upande wa service zaidi ila hata huku kwenye bidhaa mwendo ni huohuo..kitu nilichogundua ni kwamba dunia inamabadiliko ya kasi sana hivyo inatubidi tubadilike nayo ila tukifanya mambo kimazoea tumekwisha.
 
Ahsante sana mkuu naona umejikita upande wa service zaidi ila hata huku kwenye bidhaa mwendo ni huohuo..kitu nilichogundua ni kwamba dunia inamabadiliko ya kasi sana hivyo inatubidi tubadilike nayo ila tukifanya mambo kimazoea tumekwisha.

Ndiyo nimejikita zaidi katika service.

Nachofanya ni kuangalia jinsi nitakavyoongeza value katika Business za entrepreneurs.

Binafsi napenda sana kuuza. Siogopi kumshawishi potential client atoe pesa ili apate service bora. Na ninahakikisha natoa service bora kweli. Kwa wanaofanya kazi kwenye tourism wanafahamu swala la ufanisi lilivyo muhimu.

Siku hizi clients wamekuwa more demanding. Wanategemea mengi sana toka kwako hata kama wamekulipa kidogo.

Pia customers wanataka ufanye hivyo RIGHT NOW.

Hawataki kusikia excuses hata kama ni za kweli.

Well, mwisho nikubaliane na wewe mambo yanabadilika kwasababu aina ya uchumi wa dunia umebadilika.

Sasa hivi tumeingia kwenye skilled economy.

Kwamba watu wenye skills zenye demand kubwa kama digital marketing wananafasi kubwa yakupata pesa zaidi kwasababu ndiyo wanaokuletea wateja wanaotoa pesa.

Binafsi nategemea zaidi Internet/Social Media kufikia potential clients. Nafahamu jinsi yakuwa-engage, kuwaonyesha I’m the right person with experience, nafahamu nini wanategemea.

Watu watumie opportunity social media imetoa kufikia potential customers. Tena wafanya hivi bila kukurupuka.
 
Hiyo ndo sababu ya msingi.. Mtu anaandika utafikiri kazi zipo tu alafu zinakosa watu wenye sifa!

Mkuu ulivyoandika ni kama vile umeshakubali wewe ni kusubiria upewe kazi

Kazi zipo ila si kwa namna unavyotaka wewe.

Pia wala huitaji kuwa na IQ kubwa kuona hili.

Hapa ulichokosa ni perspective tofauti kuweza kuona mambo katika upande wa pili usiouzoea.

Nafahamu kote ulipopita kila mtu alikuambia nenda college pata good grades ukirudi mtaa utapata kazi bila kufahamu huko college wanafundisha Skills zilizokuwa zinafanya kazi miaka 50 iliyopita.

Mkuu unahitaji mwanga mpya kutafakari mambo vinginevyo umekwisha.
 
Haya ni maoni tu ww unakimbilia kunijudge mimi badala ya kile nilichosema, kaa ukijua kuongea na kutenda ni vitu viwili tofauti.

Bahati nzuri nimeweza kufanya mambo yangu mwenyewe ya kuniingizia kipato takribani miaka 5 sasa.. Sipo kwenye hilo kundi la kusubiria kupewa kazi! GLOBAL CITIZEN,
 
Haya ni maoni tu ww unakimbilia kunijudge mimi badala ya kile nilichosema, kaa ukijua kuongea na kutenda ni vitu viwili tofauti.

Bahati nzuri nimeweza kufanya mambo yangu mwenyewe ya kuniingizia kipato takribani miaka 5 sasa.. Sipo kwenye hilo kundi la kusubiria kupewa kazi!


Sasa unasemaje hakuna kazi kama wewe mwenyewe unafanya kazi zako mwenyewe?

Inamaanisha ulijitengenezaa hiyo opportunity mwenyewe. Sivyo?

I’m telling people each pain and complain is opportunity for business. Sometimes you need trained eye to spot the opportunity.

Ukiona wewe unaumizwa sana na swala la ajira basi fahamu wewe una DNA za kuajiriwa.

Hapa si sehemu sahihi kwako.

Mimi siogopi chochote. Iwe uchumi mbaya au unaokua vizuri.

I will make money anyways.
 
Hiyo ndo sababu ya msingi.. Mtu anaandika utafikiri kazi zipo tu alafu zinakosa watu wenye sifa!
Mawazo ya kuchoka haya...sidhani kama duniani hamna kazi....na siku kazi zikitoweka ujue pumzi lazima isimame na jua lisimame na rotation isimame hivyo kila kitu kisimame...i really disappointed na kauli hizi....ni kweli kabisa hamna kazi wakati mpaka kaburini tu kuna shughuli itakayoendelea..tumboni kwa mama kazi ilikuwepo pia....mtu yeyote atakaesema hana kazi ilihali alipelekwa shule ili aweze kushape skills zake basi anatakiwa afungwe kamba nyuma ya punda aburuzwe mji mzima
 
Mtu kasomea ualimu ila anasubiri post za serikali mwaka wa nne sasa..hajui mwalimu ni muelimishaji.je ameweka mkakati gani wa kutoa elimu kwenye jamii zaidi ya kufikiria kwenda kuchapa na kubakawatoto. Kuna makundi mengi ya kuyapa elimu na wewe kujipatia kipato...TUACHE UVIVU

Mkuu hapa umesema kweli.

“Mwalimu ni muelimishaji”

Hii nitakuibia nitatumia next time kwenye post zangu
 
Cleverman324 said:
TUACHE UVIVU

Haswaa mkuu, kikubwa ni ubunifu tu jinsi ya kutumia taaluma/ujuzi wako.

Kuna mama yangu mdg aliishia la 7 kwa kukatishwa masom na kuolewa. Alienda huko akakaa kam miaka mi5 mume akamtelekeza na watoto wawili. Baadae akarudi kwa brother wake... akaanza kufundisha watoto wa pale kwao, ck zkaenda majiran wakaanza kuwaleta watoto wao. Baada ya kuwa na watoto weng akaanzisha kiskul cha chini ya mti. Hivi sasa ana watoto 50 ambao kila 1 analipa ada ya 3000 kwa mwez na huku anapika maandaz na kupeleka pale shulen kwake na pia anakata mkaa.

Juz mumew alikuja anataka warudiane.
 
Back
Top Bottom