Unataka kujikinga dhidi ya Wachawi au unataka Kuwaona?

Ngumu kumeza maana utaandamwa na wachawi kila unakoenda. Nashukuru kunielewesha kwa mkaa kuweka kwenye unga wakati umeanika maana nimeshuhudia nikiwa mdogo nilikuwa sijui kwa nini wanafanya vile.
 
Simple_unalala na kaa la moto kama ulivyosema pia unalala na mwiko I,e unawaona na hata wao wanakuona ila wakitaka kuja kukudhuru ili usitoe siri wanakuta moto tu coz umelala na mkaa....hapo je mkuu...?
Umetishaa mkuu
 
Nasikia ukipika kuku akibaki ukiwa inahifadhi eka ndani ya maji yaani ile sufuria au bakuli enye mboga idumbikize kwenye chombo chenye maji la sivyo unahatihati ya kula bundi, wachawi wanatabia ya kubadilisha
 
Mimi leo nimeshindwa kulala tangu saa saba kwa mana huku kimara umeme imekatika mpaka saa kumi na moja hii haujarudi.
Mimi kuna kitu kinakuja naona kama ananizuiya kujitetea hata kwa kipiga kelele..
Nakuwa Na hisia ya kuona vitu kama vidole vya mikono ambavyo vinakuwa katika mfuno kama ushikwavyo mpira wa basketball.
Katikati ya mikono hiyo vinatokea vitu kama nyota au mngao wa vitu vingi vingi au mwanga kama wa kioo. Then ananigeukia na kuninyooshea kidole anayo weak., sasa sijui nini kinakuwa hivi., ikanibidi nirudi jamvini kuisoma hii mada vizuri kwani nilioona nikawa sina muda nayo.,
Swali langu hilo kaa la moto baada ya kulitumia leo kesho tena linatumika au kila siku jipya lina hitajika ..?
 
39 Reactions
Reply
Back
Top Bottom