nimesoma, na coment yako nimeiona ukimsifia kwa kuchukua maamuzi magumu! halafu umekuja jf unakuwa kigeugeu..
enhh ,... endelea kutuhabarisha mkuu
Jamani anatumia ID gani tumtafute
Tatizo jingine ni kuwa anabandika andiko, watu wakihoji baadhi ya mambo anayoyaandika, wala harudi kujibu!Kama upo tayari kuipoteza mood tembelea kwenye hiyo wall ya rais Jakaya Kikwete kwenye facebook,leo amezungumzia suala la EPA,
Kamchina kangu hakawezi kuileta link hapa.
nimesoma, na coment yako nimeiona ukimsifia kwa kuchukua maamuzi magumu! halafu umekuja jf unakuwa kigeugeu..
Jamani anatumia ID gani tumtafute
Mngetuwekea na link basi ya kwenda huko,
Sio wote ni member wa hiyo kitu mnayozungumzia!!
search jakaya kikwete, zitakuja nyingi uchague ile fan page ambayo wengi wameilike!
Aah! namtania tu mkuu bajabiri... ila coment nyingi za kule ni za vilaza sana! nyambaff..
Vilaza sana mkuu
Siku moja nilitoa comment kwenye hizo post zake za kinafiki halafu lijamaa limoja likaniandama kweli'sijui ndiye msaidizi wake
Amesema hivi 'AZMA YA KUZIPELEKA PESA ZA EPA kwenye TIB(TANZANIA INVESTMENT BANK). Na atahakikisha hzo bil 53 zilizorudishwa wakulima wanakopeshwa'
Kuna siredi hapa inasema hizo pesa zimeshaliwa tayari kutokea huko TIB, sasa yeye anasema uongo kwa nini?
kwenye FB alishaniondoa siku nyiiingi maana ukimpa za uso anakuondoa kwenye list yake, siju ndio ustaarabu gani.