Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,159
Halafu wewe hivi mahitaji mengine ya kimwili unayafanya saa ngapi kama umegoma kulala mpaka this time!!
J Be wiser
Halafu wewe hivi mahitaji mengine ya kimwili unayafanya saa ngapi kama umegoma kulala mpaka this time!!
Kilichokuchekesha nn sasa? au ndo ushabiki uliopitiliza? Well, napenda Lema/cdm washinde kesi hii pale Arusha,,lkn kwa hapa hakuna cha kuchekesha bana!
Kilichokuchekesha nn sasa? au ndo ushabiki uliopitiliza? Well, napenda Lema/cdm washinde kesi hii pale Arusha,,lkn kwa hapa hakuna cha kuchekesha bana!
Nina wasi wasi na shule ya wakili Mughwai .
kilichokuchekesha nn sasa? Au ndo ushabiki uliopitiliza? Well, napenda lema/cdm washinde kesi hii pale arusha,,lkn kwa hapa hakuna cha kuchekesha bana!
wakili anaaibika
nimecheka sana hapo kwenye pipoz ...... Power! Yaani lema alitaka kuanza kumwaga sera za cdm mahakamani? Lol!
nimecheka sana hapo kwenye pipoz ...... Power! Yaani lema alitaka kuanza kumwaga sera za cdm mahakamani? Lol!
hujaona kilichochekesha???Kilichokuchekesha nn sasa?
Well, napenda Lema/cdm washinde kesi hii pale Arusha,,lkn kwa hapa hakuna cha kuchekesha bana!
Hasira + Wivu = KuaibikaHiyo kesi kwa mwenendo huu naona haina mashiko maana inasimamiwa na wakali mwenye hasira ya kushindwa kwenye kura ya maoni