Bado sijaupata wakuu, mwenye nao autupie hapaWimbo alioingia nao Tshibangu Kayembe kwenye pambano lake na Mwakinyo
Kuna wimbo mmoja wa kikongo, jina lake sikumbuki ila ndani wanataja majina ya wasanii wakubwa wa Kongo, kuna kionjo kama cha Lelee lele le le lele lele, lelee lele le le lelee. utaniskia wanataja majina kama pepe kalee,...... kofi olomide aeeee. Nautafuta sana tafadhali nisaidieni.
Wimbo wa madilu system na mimi nautaka ingawa jina silijui
Leau huu hapaWimbo wa madilu system na mimi nautaka ingawa jina silijui
Teula malaKuna wimbo mmoja wa kikongo, jina lake sikumbuki ila ndani wanataja majina ya wasanii wakubwa wa Kongo, kuna kionjo kama cha Lelee lele le le lele lele, lelee lele le le lelee. utaniskia wanataja majina kama pepe kalee,...... kofi olomide aeeee. Nautafuta sana tafadhali nisaidieni.
Solo thang: 1) SUKARI na PILIPILISolo thang SUKARI ina PILIPILI
Huyu jamaa ni kichwa haswaaa ngoja nizitafute hizi nyimbo zake na Zaidi nitamtafute kule twitter maana miaka ya nyuma niliwasiliana nae sana huko twitterSolo thang: 1) SUKARI na PILIPILI
2)BONGO TRANS
3)UNYAMA UNYAMA
4)NDOTO
5)VINA UTATA
6)MAPENZI.. nkizipata nitafurahi sana
Naweza kupata link yake mkuu?Teula mala
wimbo wa ottu jazz band-gloria na wimbo wa tancut almas-masafa marefu
ewaa!!!!, Mungu akupe maisha marefu na yenye baraka mkuu...kama hii