Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,759
- 5,289
Sijui ulishajibiwa..rangi ya chungwayaani ungejua hata mwimbaji tu ingeisaidia
Sijui ulishajibiwa..rangi ya chungwayaani ungejua hata mwimbaji tu ingeisaidia
Zipo..bila kusahau esio wapi
Unge specify tu jina maana yako mengi...nakupa moja tu
Yule anaitwa killa mbongo, aliacha muzikinbaada ya kupata kansa ya koo kama ilivyokuwa kwa marapa wengi wanaogani kongo, baadae akabwia kwenye unga na kuwa teja. Kwa siku za hivi karibuni Extra Musica International wamejaribu kumrejesha stejini lakini sauti yake haijawa sawa kutokana na madawa ya kulevya,...muda mwingi yupo ufaransa.Nashukuru kwa jibu lako murua, japo viswali vingine umeviacha!
Rapa wenu wa extra musica yule maarufu aliyekichafua katika etat major, shalai, losambo na ngoma kibao! Mie nilipenda kumuita super tall! Watu wakikosea na kumuita roga roga.
Yule dogo aliyechana katika efrakatta ni yupi na je yuko wapi, ndio huyo huyo aliyechana katika force de frappe?
Mkuu unaweza kutupa historia kidogo za Deo Mulanga na yule Guitarist Jimmy ambao wote wameshiriki kwenye nyimbo kadhaa za Koffi Olomide kama vile Evangile,Kramogo na nyinginezo.Yule anaitwa killa mbongo, aliacha muzikinbaada ya kupata kansa ya koo kama ilivyokuwa kwa marapa wengi wanaogani kongo, baadae akabwia kwenye unga na kuwa teja. Kwa siku za hivi karibuni Extra Musica International wamejaribu kumrejesha stejini lakini sauti yake haijawa sawa kutokana na madawa ya kulevya,...muda mwingi yupo ufaransa.
Katika Effrakata marapa ni Brigade Sarbati na Bébé Kérozène na Force de frape ni Ocean Zibankulu (R.I.P)Nashukuru kwa jibu lako murua, japo viswali vingine umeviacha!
Rapa wenu wa extra musica yule maarufu aliyekichafua katika etat major, shalai, losambo na ngoma kibao! Mie nilipenda kumuita super tall! Watu wakikosea na kumuita roga roga.
Yule dogo aliyechana katika efrakatta ni yupi na je yuko wapi, ndio huyo huyo aliyechana katika force de frappe?
Katika Effrakata marapa ni Brigade Sarbati na Bébé Kérozène na Force de frape ni Ocean Zibankulu (R.I.P)