Ngareroo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2019
- 2,049
- 2,249
Oooh kumbe..!Unascrach sana
Oooh kumbe..!Unascrach sana
Bro Muziki unaujua na kuufahamu. Asante sana.nakupa hizo zilizo hit, ukitaka zingine nitajie kwa majina mkuu
Na ndizo nilizokua nazitaka. Asante sana maestro.nakupa hizo zilizo hit, ukitaka zingine nitajie kwa majina mkuu
Yes wa Kibongo.
"Tulia wangu mpenzi tulia, Tulia nami nipate tulia"
"Tulia wangu mpenzi tulia,Tulia nami nipate tulia"
"Ni Wewe ndio furaha ya moyo wangu"
"Tahasuli mama wa watoto wangu"
"Tulia wangu mpenzi tulia, Tulia nami nipate tulia"
Huu wimbo mtamu sana, leo nimeusikikiza pia, mwimbaji wake anaitwa CHOYO GOJERO, unanikumbusha nikiwa darasa la kwanza 1990..
Quarter latin international ni bendi ya koffi olomide, wale waliojitoa walijiita Quarter latin Academia na walikuwa na waimbaji watatu tu ambao ni sam shintu, madogo abarambwa na gecko bouro mpela, marapa walikuwa wawili ni Dolce somono na mboshi liapasa, wengine ni paty bass na lebou kabuye. suzuki yeye alitoa album solo akisaidiwa na wenge bcbg. hao academia walitoa album mbili sanction na viagra kabla hawajsambaratika.....kiufupi sanaNje ya mada kiduchu
Mkuu yule rapa wa extra music yuko wapi!?
Ile Quartier latin international walifia wapi baada ya kuondoka kwa koffie, kulikuwa na rapa mile alikuwa anajua saana sijui kafia wapi. Suzuki 4*4!?
Na yule rapa wa mara ya pili aliyeghani katika effrakata, force de frape yu wapi?
Quarter latin international ni bendi ya koffi olomide, wale waliojitoa walijiita Quarter latin Academia na walikuwa na waimbaji watatu tu ambao ni sam shintu, madogo abarambwa na gecko bouro mpela, marapa walikuwa wawili ni Dolce somono na mboshi liapasa, wengine ni paty bass na lebou kabuye. suzuki yeye alitoa album solo akisaidiwa na wenge bcbg. hao academia walitoa album mbili sanction na viagra kabla hawajsambaratika.....kiufupi sana