Bani Israel
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 1,448
- 2,394
Naomba wimbo wa taifa
Umefanya jambo la mbolea sana kuweka uzi huu, kwa kweli Mungu Akubariki!Huu ni ukrasa maalum kwaajili ya kuomba nyimbo zenye mahadhi ya kiafrika hasa za Kikongo. Nitajitahidi kadri ya niwezavyo nizipost kadri zinavyoombwa.
Pia, bongo fleva za zamani ni mahara pake pia. Karibuni sana. Hakikisha jina la mwimbaji, bendi na jina la wimbo viko sawa.
Hatimaye hawajaunganisha..Huu uzi nimeupenda bure lkn soon mods watauunganisha na ule wa 'wimbo gani unaoutafuta bila mafanikio'
Sent using Jamii Forums mobile app
Rangi ya ChungwaMkuu Kuna Na Nyimbo Fulani Ya Zilipendwa Unahusu Mwanafunzi Jamaa Anataka Kuoa Ila Kanatoa Excuse Ya Bado Kanasoma
Sidhani Kama Nimeeleweka