toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,628
To be honest sipendi kuwa mnafiki huwa nasema kweli haswa juu ya suala la maisha nikizingumza kile ninachokiamini bila kutetereka wala kuogopa
Unasoma chuo kikuu na huna malengo ya maisha unatarajia tu kuajiriwa ofisi yenye kiyoyozi jua hatma inakuita
Una mkopo wa asilimia 100 na boom kama lote halaf huna cha maana unachokifanya na huna malengo unachezea tu pesa basi jua hatma inakuita mpendwa
Unasoma hujishughulishi unakula tu bata starehe sikatazi wala sipingi kula ujana sana ila uwe na malengo lakini unapata boom unakula tu starehe jua hatma inakuita!
Hatma ninini?
Hatma ni pale utakapomaliza chuo na boom limekata na ajira hakuna utapata anguko lenye kishindo cha 5g ulichezea pesa sana wewe sasa ni wakati wa kupata ulichokistahili asilimia 15% sijui na ile sijui ile 6% hapo maji utaita mma hatma itakutandika kisawa sawa
Hatma ni pale utakapomaliza utaishia huna hata mia starehe zote na bata zote kwishney hapo huna hili wala lile marafiki wamekukimbia na kukuacha njia panda ya ubungo kwenda mawasiliano
Hatma ni pale utakapomaliza chuo na kurudi kwenu huna chochote cha maana umerudi na na kiduku na cheni shingoni utadhani shule ulienda kusomea ujinga hakika ndo utaijua hatma ninini
Unarudi kwenu huna hili wala lile wazazi wako na ndugu wanaanza kukuchoka na kukuona mzigo hiyo ndo hatma mpendwa
Unarudi mtaani na degree yako hukufanya chochote boom lote la miaka 3 au minne hukufanya cha maana hapa duniani au kitu endelevu mtaa unaanza kukuchoka kikipotea kitu mtaani au tukio wanaanza kukusema huenda ni wewe "sio yule kweli?maana yeye ndo hukaa mtaa huu lazima atakua yeye ndo kaiba"hapo ndo utajua maana hatma ninini
Iogope sana hatma ,hatimaye kwani hii huamua na kuonyesha uliishia wapi, hatma ni hatari kuliko wakati wa sasa
Tengeneza msingi ukiwa chuo ili uweze kuwa na "hatimaye nzuri" badala ya "hatma mbaya"
Unasoma chuo kikuu na huna malengo ya maisha unatarajia tu kuajiriwa ofisi yenye kiyoyozi jua hatma inakuita
Una mkopo wa asilimia 100 na boom kama lote halaf huna cha maana unachokifanya na huna malengo unachezea tu pesa basi jua hatma inakuita mpendwa
Unasoma hujishughulishi unakula tu bata starehe sikatazi wala sipingi kula ujana sana ila uwe na malengo lakini unapata boom unakula tu starehe jua hatma inakuita!
Hatma ninini?
Hatma ni pale utakapomaliza chuo na boom limekata na ajira hakuna utapata anguko lenye kishindo cha 5g ulichezea pesa sana wewe sasa ni wakati wa kupata ulichokistahili asilimia 15% sijui na ile sijui ile 6% hapo maji utaita mma hatma itakutandika kisawa sawa
Hatma ni pale utakapomaliza utaishia huna hata mia starehe zote na bata zote kwishney hapo huna hili wala lile marafiki wamekukimbia na kukuacha njia panda ya ubungo kwenda mawasiliano
Hatma ni pale utakapomaliza chuo na kurudi kwenu huna chochote cha maana umerudi na na kiduku na cheni shingoni utadhani shule ulienda kusomea ujinga hakika ndo utaijua hatma ninini
Unarudi kwenu huna hili wala lile wazazi wako na ndugu wanaanza kukuchoka na kukuona mzigo hiyo ndo hatma mpendwa
Unarudi mtaani na degree yako hukufanya chochote boom lote la miaka 3 au minne hukufanya cha maana hapa duniani au kitu endelevu mtaa unaanza kukuchoka kikipotea kitu mtaani au tukio wanaanza kukusema huenda ni wewe "sio yule kweli?maana yeye ndo hukaa mtaa huu lazima atakua yeye ndo kaiba"hapo ndo utajua maana hatma ninini
Iogope sana hatma ,hatimaye kwani hii huamua na kuonyesha uliishia wapi, hatma ni hatari kuliko wakati wa sasa
Tengeneza msingi ukiwa chuo ili uweze kuwa na "hatimaye nzuri" badala ya "hatma mbaya"