Unasoma Chuo, una mkopo na huna malengo jua hatima inakuita

Wivu tu umekujaa. Kuna mwanachuo alishakudharau au akakwambia wewe sio kitu kwa sababu ni class 7 ? Kuwa na mtazamo chanya ndugu sio kila jambo ni kama unavolichukulia kwenye nafsi yako.

Mtazamo chanya!!

Mbona ninyi hamna huo mtazamo chanya kwa hao wahitimu wanaopigika kitaa.?
 
To be honest sipendi kuwa mnafiki huwa nasema kweli haswa juu ya suala la maisha nikizingumza kile ninachokiamini bila kutetereka wala kuogopa

Unasoma chuo kikuu na huna malengo ya maisha unatarajia tu kuajiriwa ofisi yenye kiyoyozi jua hatma inakuita

Una mkopo wa asilimia 100 na boom kama lote halaf huna cha maana unachokifanya na huna malengo unachezea tu pesa basi jua hatma inakuita mpendwa

Unasoma hujishughulishi unakula tu bata starehe sikatazi wala sipingi kula ujana sana ila uwe na malengo lakini unapata boom unakula tu starehe jua hatma inakuita!

Hatma ninini?

Hatma ni pale utakapomaliza chuo na boom limekata na ajira hakuna utapata anguko lenye kishindo cha 5g ulichezea pesa sana wewe sasa ni wakati wa kupata ulichokistahili asilimia 15% sijui na ile sijui ile 6% hapo maji utaita mma hatma itakutandika kisawa sawa

Hatma ni pale utakapomaliza utaishia huna hata mia starehe zote na bata zote kwishney hapo huna hili wala lile marafiki wamekukimbia na kukuacha njia panda ya ubungo kwenda mawasiliano

Hatma ni pale utakapomaliza chuo na kurudi kwenu huna chochote cha maana umerudi na na kiduku na cheni shingoni utadhani shule ulienda kusomea ujinga hakika ndo utaijua hatma ninini

Unarudi kwenu huna hili wala lile wazazi wako na ndugu wanaanza kukuchoka na kukuona mzigo hiyo ndo hatma mpendwa

Unarudi mtaani na degree yako hukufanya chochote boom lote la miaka 3 au minne hukufanya cha maana hapa duniani au kitu endelevu mtaa unaanza kukuchoka kikipotea kitu mtaani au tukio wanaanza kukusema huenda ni wewe "sio yule kweli?maana yeye ndo hukaa mtaa huu lazima atakua yeye ndo kaiba"hapo ndo utajua maana hatma ninini

Iogope sana hatma ,hatimaye kwani hii huamua na kuonyesha uliishia wapi, hatma ni hatari kuliko wakati wa sasa

Tengeneza msingi ukiwa chuo ili uweze kuwa na "hatimaye nzuri" badala ya "hatma mbaya"
Usitishe watu,kila kitu na wakati wake...


Ukiwa chuo unatakiwa kusoma sana na kuwa competent kwenye taaluma yako hilo ndio la msingi,

Pia uishi kichuo chuo na u-enjoy the moment za chuo na huo utoto,sio uko chuo una mipango mingi na mishe za nyiiingii za nje mixer kunuka harufu ya beberu au mafuta ya bunduki na maisha yasivyokua fair ukija mtaani yana kuchapa vile vile na yule unayemwona mzembe anakuja kukupita kama umesimama
 
Shida wabongo....hasa wadada wakiona mtu kakaa sehemu anakula bia basi anajua huyo mtu ana peesa kwelikweli.....wanachuo wanakula bata ila sio kwamba ndo wanapata pesa ya maana hadi ya kutafutia maisha wakiwa chuo......pesa nyingi inaishia tu ku cover gharama za chuoni unachobakia kutumia we mwenyewe personally ni kidogo sana......sasa mtu akiona mwanafunzi bodi inamdai kama milioni 10 anajua basi hio milioni 10 yote mwanafunzi alikua analia bata kumbe hapo unaweza kuta yake mwenyewe yakutumia mfukoni kwa miezi kama mi 2 au 3 ni tulaki kadhaa tu.......ila yote juu ya yote kula bata ukiwa chuo uwezavyo maana ukishamaliza ukija kitaani upepo unabadilika......muda pekee wa kula bata lisilo na stress sana ni chuo na mie nashukuru nilifanya starehe mingi nikiwa chuo kwa sasa nipo kitaa sioni kitu kipya naendelea na stage nyingine ya maisha
Safii,kila kitu na wakati wake


Sio ushaanza kuwa na familia unakua mtu wa kushinda viwanja na kung'oa pisi kalii,utakua umepishana na wakati...


We soma sana kuwa competent sana,na kama nafasi itaruhusu kula bata ishi maisha...maisha yenyewe mafupi na hayana guarantee ya chochote,unaweza ku-make weeee...ukifika kitaa miaka inaenda na hula la maaana,mla bata chuo akakupita kwa speed ya SGR and vice versa
 
Inadepend jaman! Mi binafsi naamini kila mtu ana mlangp wake wa kutoka kimaisha. Kuwa chuo ukatumia pesa zote pasina kuponesha walau one million per three years maana ake una namna nyingine ya kutokea pindi utakapo maliza chuo, Lakini kama wewe ndo mwenzangu na mimi secondary tu yenyewe umesoma kwa tabu ada plus chakula ilikuwa kikwazo Tsh laki tano kiuchumi inapona walau laki mbili per each boom kuvaa sio lazima at kila boom ununue walau kanguo BIG NO pia chakula ni mipango 2 sio lazima kila siku ule milo mitatu. Piah kigheto sio lazima at uwe na kila kitu kwa wakat huo! Ila labda ka unataka onekana wewe ni msuper kwa mademu na mashkaji sawa! Ila kumbuka cha moto lazima ukione baada ya masomo.
MWISHO: KUMBUKA KILA MTU ANA NJIA YAKE YA KUTOKEA USIFORCE TUFANANE
 
Huku ndo kujitesa kabisa alafu unashabikia umaskini... mtu ule mara moja kwa siku tena unashindia mihogo uko ni kujitafutia ulcers ambazo zitakutesa miaka kisa ulikuwa unasave laki moja kwa mwezi😂😂
Kuwa na vitu vya ndani sio lazima ila ndo nisilalie kitanda miaka mitatu au minne uko ni kujitesa maana ukimaliza chuo hamna guarantee ya kwenda kupata hicho kitanda.
Alafu ukishinda na njaa sana unakua tu na stress ndo unaanza kuchukiana na watu bure au unaona kila kitu kinakukera hamna mtu anakaa na njaa alafu akawa normal...
Inadepend jaman! Mi binafsi naamini kila mtu ana mlangp wake wa kutoka kimaisha. Kuwa chuo ukatumia pesa zote pasina kuponesha walau one million per three years maana ake una namna nyingine ya kutokea pindi utakapo maliza chuo, Lakini kama wewe ndo mwenzangu na mimi secondary tu yenyewe umesoma kwa tabu ada plus chakula ilikuwa kikwazo Tsh laki tano kiuchumi inapona walau laki mbili per each boom kuvaa sio lazima at kila boom ununue walau kanguo BIG NO pia chakula ni mipango 2 sio lazima kila siku ule milo mitatu. Piah kigheto sio lazima at uwe na kila kitu kwa wakat huo! Ila labda ka unataka onekana wewe ni msuper kwa mademu na mashkaji sawa! Ila kumbuka cha moto lazima ukione baada ya masomo.
MWISHO: KUMBUKA KILA MTU ANA NJIA YAKE YA KUTOKEA USIFORCE TUFANANE
 
Shida wabongo....hasa wadada wakiona mtu kakaa sehemu anakula bia basi anajua huyo mtu ana peesa kwelikweli.....wanachuo wanakula bata ila sio kwamba ndo wanapata pesa ya maana hadi ya kutafutia maisha wakiwa chuo......pesa nyingi inaishia tu ku cover gharama za chuoni unachobakia kutumia we mwenyewe personally ni kidogo sana......sasa mtu akiona mwanafunzi bodi inamdai kama milioni 10 anajua basi hio milioni 10 yote mwanafunzi alikua analia bata kumbe hapo unaweza kuta yake mwenyewe yakutumia mfukoni kwa miezi kama mi 2 au 3 ni tulaki kadhaa tu.......ila yote juu ya yote kula bata ukiwa chuo uwezavyo maana ukishamaliza ukija kitaani upepo unabadilika......muda pekee wa kula bata lisilo na stress sana ni chuo na mie nashukuru nilifanya starehe mingi nikiwa chuo kwa sasa nipo kitaa sioni kitu kipya naendelea na stage nyingine ya maisha
Tatizo tunakubali umaskini na kuona ndo life la kawaida alafu mtu ukipata luch ya ugali na kuku nusu ata weekend moja kwa mwezi tunaona ni anasa.. ukikaa mahali ukachukua glass ya juice ya jero tena sahivi matunda meeengi wanakujazia wanakupa na mrija mtu anaona unafanya anasa😂😂
 
Hizo boom ni vipesa vidogo tu vya kuwa sustain huko chuoni kwenye maswala ya kula, mavazi na malazi. Sasa unapodai ku-save kwenye income ambayo ni very basic nashindwa kukuelewa....
 
Hela ya boom ni accomodation yako ya chuon uweze kusoma na kuenjoy maisha ya chuo bila stress ile hela ni ndogo sana na imekuwa ndogo ili usisahau dhumuni lako chuon ww soma ufaulu vzur spend to relieve stress have fun kazi zitakuja tu
 
Akili za kimasikini
Ni kweli Hatuwez kuwa sawa. Kila mmoja ana namna yake ya maisha na kutokana na namna hiyo humpelekea hata yeye kuwa na mitazamo yake! Lakini wale wenye maisha flani ambayo yanaeza match na yangu bhax wataafikiana na ninacho kisema
 
To be honest sipendi kuwa mnafiki huwa nasema kweli haswa juu ya suala la maisha nikizingumza kile ninachokiamini bila kutetereka wala kuogopa

Unasoma chuo kikuu na huna malengo ya maisha unatarajia tu kuajiriwa ofisi yenye kiyoyozi jua hatma inakuita

Una mkopo wa asilimia 100 na boom kama lote halaf huna cha maana unachokifanya na huna malengo unachezea tu pesa basi jua hatma inakuita mpendwa

Unasoma hujishughulishi unakula tu bata starehe sikatazi wala sipingi kula ujana sana ila uwe na malengo lakini unapata boom unakula tu starehe jua hatma inakuita!

Hatma ninini?

Hatma ni pale utakapomaliza chuo na boom limekata na ajira hakuna utapata anguko lenye kishindo cha 5g ulichezea pesa sana wewe sasa ni wakati wa kupata ulichokistahili asilimia 15% sijui na ile sijui ile 6% hapo maji utaita mma hatma itakutandika kisawa sawa

Hatma ni pale utakapomaliza utaishia huna hata mia starehe zote na bata zote kwishney hapo huna hili wala lile marafiki wamekukimbia na kukuacha njia panda ya ubungo kwenda mawasiliano

Hatma ni pale utakapomaliza chuo na kurudi kwenu huna chochote cha maana umerudi na na kiduku na cheni shingoni utadhani shule ulienda kusomea ujinga hakika ndo utaijua hatma ninini

Unarudi kwenu huna hili wala lile wazazi wako na ndugu wanaanza kukuchoka na kukuona mzigo hiyo ndo hatma mpendwa

Unarudi mtaani na degree yako hukufanya chochote boom lote la miaka 3 au minne hukufanya cha maana hapa duniani au kitu endelevu mtaa unaanza kukuchoka kikipotea kitu mtaani au tukio wanaanza kukusema huenda ni wewe "sio yule kweli?maana yeye ndo hukaa mtaa huu lazima atakua yeye ndo kaiba"hapo ndo utajua maana hatma ninini

Iogope sana hatma ,hatimaye kwani hii huamua na kuonyesha uliishia wapi, hatma ni hatari kuliko wakati wa sasa

Tengeneza msingi ukiwa chuo ili uweze kuwa na "hatimaye nzuri" badala ya "hatma mbaya"
Mkuu pesa ya mkopo/ bumu la chuo nila kukukimu kimaisha ukiwa unasoma na si kukuwezesha kuanza maisha,acha mawazo haya ya kimasikini masikini
 
Point ya msingi hapo ni kujitambua, kuwa na malengo. Na kuyafuata.

Mtu anaweza kuwa malengo yake ni kula bata(kama ulivyodai). Akimaliza chuo ataanza upya. Hapa kuna wengine wana connections mtaani, wengine tunahustle kiana.

Mwingne ndio hivyo hali bata, anasave.

Mwingine hali bata na ya kusave haipo.

Kitu muhimu ni kujitambua.

Note: kuna watu chuoni wanapata boom na wanaishi maisha magumu pia.
 
Pesa ya chai?hahaaa??unaongea hayo umeshindia mihogo maskin

Nyie ni aina ya watu mnaojikweza mtandaoni lakini uhalisia hata kushika elfu moja mtihani
Ndiyo n pesa ya chi, labda hujui boom ww! Ile pesa ya kula tu ukiwa chuon ndo maana inatolewa wakati wakati wa masomo pemee
 
Back
Top Bottom