Unashindwaje kuelewa?

Biobenga

JF-Expert Member
Nov 18, 2014
394
533
Mmekua katika mahusinao kwa takribani mwaka mzima au pengine zaidi, unashindwaje kuelewa hivi vitu:

1. Hana malengo na wewe
2. Anakupenda kwa dhati
3. Wewe ni mchepuko tu.
4. Nipe nikupe.
5. We njia kuu lakini michepuko anayo.
6. Wewe ndo mchepuko
7. Wewe wa kumhudumia tu, anapendwa mwingine.
8. Akiboreka ndo unakumbukwa.
9. Wewe wa kugegedana tu, labda upo vizuri hapo.
10. Anakutumia tu, tena mpaka familia anayo. n.k

Je, ni kwamba umependa sana na kumuamini. Au ye mjanja sana katika kuficha makucha. Au labda unajua lakini ufanyeje tena, kwa sababu zako mwenywe umeng'ang'ania.

Tuambie, unadhani mwenzako anahitaji nini katika mahusino au mahusiano yenu yana muelekeo gani?
X wako alikuwaje?
 
Wanajifumbaga macho tu yakiwazidi ndio wanakuja kuomba ushauri huku na wakati upepo waliuona tangu mwanzo.
 
Mmekua katika mahusinao kwa takribani mwaka mzima au pengine zaidi, unashindwaje kuelewa hivi vitu:

1. Hana malengo na wewe
2. Anakupenda kwa dhati
3. Wewe ni mchepuko tu.
4. Nipe nikupe.
5. We njia kuu lakini michepuko anayo.
6. Wewe ndo mchepuko
7. Wewe wa kumhudumia tu, anapendwa mwingine.
8. Akiboreka ndo unakumbukwa.
9. Wewe wa kugegedana tu, labda upo vizuri hapo.
10. Anakutumia tu, tena mpaka familia anayo. n.k

Je, ni kwamba umependa sana na kumuamini. Au ye mjanja sana katika kuficha makucha. Au labda unajua lakini ufanyeje tena, kwa sababu zako mwenywe umeng'ang'ania.

Tuambie, unadhani mwenzako anahitaji nini katika mahusino au mahusiano yenu yana muelekeo gani?
X wako alikuwaje?
We dada sijuwi kaka, kama una mchepuko na una familia na mchepuko wako unahisi haujui ni bora umwambie.
Karma is a bitch remember.
 
We dada sijuwi kaka, kama una mchepuko na una familia na mchepuko wako unahisi haujui ni bora umwambie.
Karma is a bitch remember.
Kwanza ni kaka, halafu sina familia. Nia yangu ni kujua unashindwaje kumsoma mwenzako wakati mmekua katika mahusiano kwa muda mrefu.

Mojawapo kati ya threads nlizopitia; mtu anauliza jukwaa kama anapendwa ilihali kila siku yeye ndo wa kumtafuta mwenzie, akikaa kimya ndo mwisho wa mawasiliano.

La msingi ni kujua unahitaji nini katika mahusiano na kuelewa hitaji la mwenzako pia. Unaweza ukadhani umepata wako wa ndoa kumbe mwenzako anakuchukulia mchepuko au mtu wa mpito.
 
Back
Top Bottom