Mrimi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,691
- 633
Wakuu ktk pita pita zangu humu mitandaoni nimeona hizo ndude hapo juu.Nataka kujua,kwa matumizi ya kawaida,ni ipi kati ya hizo iko vizuri zaidi ya nyezake.
Inavyoonekana bei zake ni cheaper ukilinganisha na brands nyingine kama Samsung (Galax Note 8).Je,ndio kusema Galax ni bora kuziliko au ni kwa sababu ya brand tu?
Na je,vipi bei zake kibongo bongo?
Inavyoonekana bei zake ni cheaper ukilinganisha na brands nyingine kama Samsung (Galax Note 8).Je,ndio kusema Galax ni bora kuziliko au ni kwa sababu ya brand tu?
Na je,vipi bei zake kibongo bongo?