Unasema bia tamu? Itakuwa hujaonja vitamu wewe!!

Sexless

JF-Expert Member
Mar 11, 2017
21,563
50,405
Watu wakiambiwa wapige kura kuchagua kati ya kuchakatana na kunywa bia. Mm nitakuwa mmoja wa watu watakao chagua kuchakatana na tutapata ushindi mkubwa sana.

Aliyesema bia tamu akafanye utafiti upya.

Ndiyo maana hata bia ikikolea inamsukuma mtumiaji aende kuchakatana, hii inamaanisha kwamba bia yenyewe inajua kuna vitu vitamu zaidi yake

Usifanye utani na kuchakatana.

Screenshot_20211203-185830_1.jpg
 
Kila mtu ana taste zake. Mimi kwangu bia sio tamu wala huko kuchakatana sio kutamu.

Nikikuambia hakuna kitu kitamu kama kusoma vitabu utanishangaa sana ila hiyo ni kwangu mimi. So mkuu kama wewe unaona kuchakatana ndio utamu zaidi chakatana. Anaeona bia ni tamu acha anywe.

Tusipangiane au tusibishane kipi ni bora zaidi ya kingine. Ubora wa kitu unategemea na mtu na mtu. Hatuwezi kuwa sawa.
 
Kila mtu ana taste zake. Mimi kwangu bia sio tamu wala huko kuchakatana sio kutamu.

Nikikuambia hakuna kitu kitamu kama kusoma vitabu utanishangaa sana ila hiyo ni kwangu mimi. So mkuu kama wewe unaona kuchakatana ndio utamu zaidi chakatana. Anaeona bia ni tamu acha anywe.

Tusipangiane au tusibishane kipi ni bora zaidi ya kingine. Ubora wa kitu unategemea na mtu na mtu. Hatuwezi kuwa sawa.
Dunini hapa kuna utamu wa aina mbili tu mkuu. Kunywa pombe na kuchakatana.

Chagua utamu wako Kati ya hizo tamu mbili
 
Kila mtu ana taste zake. Mimi kwangu bia sio tamu wala huko kuchakatana sio kutamu.

Nikikuambia hakuna kitu kitamu kama kusoma vitabu utanishangaa sana ila hiyo ni kwangu mimi. So mkuu kama wewe unaona kuchakatana ndio utamu zaidi chakatana. Anaeona bia ni tamu acha anywe.

Tusipangiane au tusibishane kipi ni bora zaidi ya kingine. Ubora wa kitu unategemea na mtu na mtu. Hatuwezi kuwa sawa.
Usicheze na maku wacha urongooo
 
Everyone is engineered differently. Everyone has their own style of upbringing. Everyone has different kinds of experiences and exposure. Everyone has their own hobbies, beliefs, standards e.t.c

Kamwe huwezi kuwa sawa kama utafikiri kuwa kila mtu anapenda unachopenda wewe.
Sawa mkuu
 
Kila mtu ana taste zake. Mimi kwangu bia sio tamu wala huko kuchakatana sio kutamu.

Nikikuambia hakuna kitu kitamu kama kusoma vitabu utanishangaa sana ila hiyo ni kwangu mimi. So mkuu kama wewe unaona kuchakatana ndio utamu zaidi chakatana. Anaeona bia ni tamu acha anywe.

Tusipangiane au tusibishane kipi ni bora zaidi ya kingine. Ubora wa kitu unategemea na mtu na mtu. Hatuwezi kuwa sawa.
Mi mpenzi wa vitabu pia ila nimekuwa Adicted na Jf achaa tuu.

Vipi vitabu vyako unavyo soma unasoma Online ama...???

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom