Unapozuia raia kutoa mawazo yao kama unazuia adui mwenye vifaru

Makamanda mmeiona seriSeri eh? Chezeni tuje tuwatembelee hospital
Sio hospitali tuu bali kwenye viroba vinavyo elea Coco beach.
Yote sawa kwa sasa.
Hii ndio Govt of the people, for the people! Mjomba wako akiokotwa kwenye kiroba njoo msibani na kejeli zako
 
Mtatuma sana hizi picha lakini watanzania wametuma ujumbe mzito kwenu na kwa wafadhili wenu.
Tanzania sio Misri, Congo, Syria, Libya, Tunisia, kenya au Iran.
Mungu ana sababu na amani iliyopo Tanzania, ni kwa makusudi tumekuwa na amani, ili hapa kwetu liwe kimbilio la watu waliovuruga tunu za taifa lao.

Mungu amsamehe dhambi zake zote na kumpuzisha pahala pema Baba wa Taifa J. K. Nyerere kwa kutujengea msingi imara wa taifa la umoja lililo imara.
Unatubu kwa ajili ya marehemu mhhh we hatari, Mungu gani husikia toba hiyo!!!?
 
JK alionewa sana kwa huu upuuzi wa siasa za maandamano na operations zisizokuwa na mwisho. Kila baada ya mwezi nchi ilikuwa majaribuni kupitia maandamano.

Kazi ya watu ikawa ni kujipanga na kusikiliza siasa za juani saa kumi jioni, wakati nchi yenyewe ni masikini kwa maana halisi.

Awamu ya tano imejifunza kupitia makosa ya ile ya nne, lazima nchi iwe na nidhamu, haiwezekani tuendelee kufanana na kambale, kila mmoja ana ndevu kuanzia Baba mpaka mtoto wa mwisho.
 
Hii haijapata kuonekana dunia nzima. Sisi ni zaidi ya Hitler au utawala wowote wa kifashisti uliopata kutokea. Hongera kwa Watanzania walio amua kuacha kutumia njia halali ya maandamano maana kesho kungekuwa na msiba mkubwa nchini kuliko ule wa MV Bukoba.
View attachment 756882
Hapa ulipo unafanya nini?, umezibwa mdomo?, huu ujinga utawatoka lini vichwani Mwenu?, pumbavu sana
 
JK alionewa sana kwa huu upuuzi wa siasa za maandamano na operations zisizokuwa na mwisho. Kila baada ya mwezi nchi ilikuwa majaribuni kupitia maandamano.

Kazi ya watu ikawa ni kujipanga na kusikiliza siasa za juani saa kumi jioni, wakati nchi yenyewe ni masikini kwa maana halisi.

Awamu ya tano imejifunza kupitia makosa ya ile ya nne, lazima nchi iwe na nidhamu, haiwezekani tuendelee kufanana na kambale, kila mmoja ana ndevu kuanzia Baba mpaka mtoto wa mwisho.

Sasa hivi watu hawaandamani na wakitaka kuandamana jeshi la polisi linaandamana kwa niaba yao. Umasikini umepungua? Wakati wa JK watu waliandamana kwa mapungufu yaliyokuwepo, na sasa watu wanataka kuandamana kwa mapungufu yaliyopo. Hata sasa wananchi wanashindishwa juani kusikiliza hadithi za rais, ni mwananchi gani anapanda VX yaje akiondoka baada ya hizo porojo zake? Kuna ajira zozote za maana toka aingie madarakani? Rushwa imeondoka au ni porojo za jukwaani? Dawa ziko mahospitalini zaidi ya porojo za jukwaani? Uhalisia mbona hauendani na sifa zinazomwagwa? Kutumia nguvu kuzuia hayo maandamano hakumaanishi hakuna mapungufu na wala hayo mapungufu hayatoondoka kwa kuzuia maandamabo bali kwa kutatuliwa.

Ingekuwa wanaotaka kuandamana hawana hoja za msingi hapo tungeelewa japo sikuunga mkono maandamano ya kumtoa madarakani kama baadhi ya watu walivyokuwa wanasema.
 
Raia wakiamua hakuna Jeshi la kuwazuia - Da Mange

Raia hawajaamua Mbona Libya walipoamua Ghadafi hakuweza kuwazuia
Huenda tumeridhika. Alafu wastaafu waje walie lie kwenye mitandao mara hatujalipwa stahiki zetu mar oooh, wafanya biasha kodi kubwa bandari ushuru mkubwa.
SHUT UP U BASTARD
 
Hii haijapata kuonekana dunia nzima. Sisi ni zaidi ya Hitler au utawala wowote wa kifashisti uliopata kutokea. Hongera kwa Watanzania walio amua kuacha kutumia njia halali ya maandamano maana kesho kungekuwa na msiba mkubwa nchini kuliko ule wa MV Bukoba.
View attachment 756882
Aisee leo nimekungoja siku nzima utokee tuandamane kumuunga mkono da'Mange lakini kumbe ulikuwa umeufyata? Eti saa hizi ndio unatokea mtandaoni na vijimaneno vya kujifariji, ha ha ha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom